SHARE

Read Nimepona Lyrics By Ibraah

SHARE

Read Nimepona Lyrics By Ibraah. The song is Ibraah's second release in 2023 and it is expected to make waves in East Africa.

READ ALSO: Read Tunapendeza Lyrics By Ibraah Featuring Harmonize

Read Nimepona Lyrics By Ibraah Below:

Macho yangu yanatamani kukuona

Ila moyo umegoma

Umecheza na hisia zangu

kumbe si fungu nilichagua koroma

Mi nashangaa macho yanatamani kukuona

Ingali mabaya yalishuhudia

Nakidogo nlickokua nacho ndo kikafanya ukanikimbia

Yan kama nilichomwa na mwiba maa

Maumivu yakanipa shida naa

Siungesema kama umeshiba mapenzi yangu mapenzi yangu weeh

Mana uliyafanya sio yakawaida maa

Je ungeniona cha roho kikibana

Nikajikokota uku nikimuomba mungu wangu kutwa nikuonee

Sio kwa ubayaaa

Nmejiuguza na nimepona

Mmh wewe

Nimejiuguza na nimepona

Mi mzima wa afya

Nimejiuguza na nimepona

Yanilitesa ila sijafaa

Nimejiuguza na nimeponaa

Uuh yeeeeh uuuuuh!

We ndo uliwish nipitie mabaya

Moyo wako si umejenga chuki sawa sawa

Changu kidege kimeota mbawa

Haujaniuza bure bure umenigawa

Nenda utapata anaekupenda wenda utampenda haayaa

Mi kosa langu kukupenda ukaniona mwana kwenda haaayaaaa

Nilivyoongeza upendo mabaya ulifanya dhairi kwa vitendo

Kumbe ziro malengo kwangu ulifollow tendo

Zile baby baby we kumbe ulinizuga baby

Yani kama nilichomwa na mwiba maa

Maumivu yakanipa shida naa

Siungesema kama umeshiba mapenzi yangu mapenzi yangu wee

Mana ulifanya sio yakawaida maa

Je ukiniona cha roho kikibana

Nikajikokota huku nikimuomba mungu wangu kutwa nikuonee

Nimepona - Ibraah

Related

ADVERTISEMENT