SHARE

Read Namficha Lyrics By Dj Joozey Ft Harmonize

SHARE

Read Namficha Lyrics By Dj Joozey Ft Harmonize. The song has been well received in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Read Single Again Lyrics By Harmonize

Read Namficha Lyrics By Dj Joozey Ft Harmonize:

Tafadhali Tafadhali 

Ka uko na baby ifiche mbali 

Yani kuna wanaponda mali 

Basi wanamwaga madolali 

Wanaagiza Wanaagiza dorime 

Kama una hela za mawazo nunua ushamba ukalime

Wanaagiza Wanaagiza dorime

Taratibu na tungi la ofa usije lewa uzime 

Oya dada ficha danga lako 

Siku hizi mjini kila demu ana matako 

Na kama ukibisha ushauri yako 

Mmmh inakaribia kula kwako 

Me wangu namficha 

Namficha kwapani 

Namficha namficha kwapani 

Eeeh namficha namficha kwapani 

Baby wangu namficha namficha kwapani 

Oooh Aaaah Eeeeh Mmmh 

Eti nimwache nimwache nimwache nani 

Nimwache nimwache nimwache nani 

Nauliza nimwache nimwache nimwache nani 

Nimwache nimwache nimwache nani 

Eti nimwache nimwache nimwache nani 

Nimwache nimwache nimwache nani 

Ona mafisi wale wanavyoitazama pisi kali 

Sio kama na-wa diss wale 

Baby wangu hawezi kwenda kirahisi pale 

Oya dada ficha danga lako 

Siku hizi mjini kila demu ana matako 

Na kama ukibisha ushauri yako 

Mmmh inakaribia kula kwako 

Me wangu namficha 

Namficha kwapani 

Namficha namficha kwapani 

Eeeh namficha namficha kwapani 

Baby wangu namficha namficha kwapani 

Oooh Aaaah Eeeeh Mmmh 

Namficha - Dj Joozey Ft Harmonize

Related

ADVERTISEMENT