SHARE

Mwambieni Lyrics by Zuchu | Official lyrics

SHARE

Tanzanian songbird Zuchu returns to the music playground with her decisive hit "Mwambieni".

The song is produced by Tanzania's finest Mocco Genius while the song's visuals were under Hanscana who has also worked with Zuchu on "Nyumba Ndogo"

Here the official lyrics of "Mwambieni" you can read aloud and sing along :

Mwambieni Lyrics by Zuchu

Read also : Sukari lyrics by Zuchu

Verse 1

Eeeeh kaja omba nirudia
Kazirejesha salam
Zamani kakumbukiaa
Ameumisi utamu
Kaacha kopa kalamba garasa
Kaishiwa masikini
Mpeni taarifa za beti mkwasa
Mi simkumbuki sini

Chorus

Hee mwambieni mwambieni (mali yake ishaliwa)
Aha apunguze kampeni (jimbo lishachukuliwa)
He he mwambieni mwambieni ((mali yake ishaliwa)
Aha apunguze kampeni (jimbo lishachukuliwa)
Kabaki mbe, mbe arijojo mbembe hatarii
Mbe arijojo mbembe
Kaambulia patupuu mbe arijojo mbembe
Yuko chali chaliii mbe arijojo mbe
Mbe mbe mbe

Verse 2
Alidhani ameniadhiri, Alidhani amenikomoa
Mungu akanipa msitirii
Alonipoza nikapoa ah
Penzi kalijaza ndindindi
Kanimwagia mwemwere mwemwere
Pole ya kwako kidingi wa kudandia
Ngendere ngedere

Bridge
Simu za usiku wa saa sita, aka staki
Kuni dm insta, aka staki
Kutwa kujicomentisha, aka staki
Kujitumisha vipicha aka staki

Chorus

Hee mwambieni mwambieni (mali yake ishaliwa)
Aha apunguze kampeni (jimbo lishachukuliwa)
He he mwambieni mwambieni ((mali yake ishaliwa)
Aha apunguze kampeni (jimbo lishachukuliwa)
Kabaki mbe, mbe arijojo mbembe hatarii
Mbe arijojo mbe
Kaambulia patupuu mbe arijojo mbembe
Yuko chali chaliii mbe arijojo mbe
Mbe mbe mbe

Hee kabaki mbeee
Mbe arijojo mbe mbe
Si wa mbele wala nyuma
Mbe arijojo mbembe
Si wa kuvutwa sukuma
Mbe arijojo mbembe
Inakuuma eeeh
Mbe arijojo mbembe

Outro
Twende kirinkikiti kirinkikiti kikiti kikiti
Kirinkikiti kirinkikiti kikiti kikiti

Related

ADVERTISEMENT