SHARE

Read Kamtu Remix Lyrics By Geniusjini Ft Kusah

SHARE

Read And Sing Aloud Kamtu Remix Lyrics By Geniusjini Ft Kusah. The song has been well-received by fans in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Read Kamtu Lyrics By Geniusjini

Read And Sing Aloud Kamtu Remix Lyrics By Geniusjini Ft KusahBelow:

Haka labda kameniroga 

Maana sio bure 

Hili huba nnalo mi linanichanganya 

Labda dawa amekoroga 

Maana yamenoga 

Penzi flani la kukoroga 

Nyama nyama nyama 

Mkiona nenenepa, nina vimba

Ni hata kamtu

Mkiona sionekani, nimefichwa

Na hata kamtu

Nakajengea sasamu

Mkaaone mkaone mkaone

Nakachora na tattoo

Mkaaone mkaone mkaone

Ooh baby I promise you

I go be your backup

I go be your real baby

I go be your daddy

Na when you miss me baby, call me

Anything you want baby, tell me

Baby I promise you I go be your size

So let me make you queen of my life

I will never leave you alone

Because many many things

You know about me

Mkiona nenenepa, nina vimba

Ni hata kamtu

Mkiona sionekani, nimefichwa

Na hata kamtu

Nakajengea sasamu

Mkaaone mkaone mkaone

Nakachora na tattoo

Mkaaone mkaone mkaone

Hakana maringo ooh na nikarembo

Katoto cha watu na hakajishauwi

Yani ndondondoo oh si nchururu

Ndege kwa urimbo nimetulia tuli.

Related

ADVERTISEMENT