SHARE

Read Champion Remix Lyrics By Kontawa Featuring Harmonize

SHARE

Read Champion Remix Lyrics By Kontawa Featuring Harmonize. The song marks another time Harmonize has been tapped for a remix.

READ ALSO: Read Champion Lyrics By Kontawa Featuring Nay Wa Mitego

Read Champion Remix Lyrics By Kontawa Featuring Harmonize Below:

Aaaah weee I'm the winner 

I'm the champion 

Aaaah weee I'm the winner 

I'm the champion 

Yeeeh! 

Mi nimezaliwa Mtwara 

Huku ndani ndani 

Chitoholi na Rendele 

Pengine hata bibi yangu 

Na babu bado wanajua Rais Nyerere 

Huku kwetu machawa wapo 

Tena wakikung'ata wanakuwacha na vipele 

Na sio machawa wa mjini 

Hadi mtoto wa kike wanamuonea gere 

Men sikumbuki kama Mungu nishamuomba utajiri 

Ila akanipa kwa sababu nastahili 

Busara kwangu ni jambo la siri 

So usishangae wakinitangaza ubahili 

Nimetoboa mbele ya mkubwa na Tale 

Kipara na Asake wa Tandale 

Hizi sio zama za kale 

Muziki huko huru kama kambi ya kambale 

Chinga piga muziki tumebaki wawili 

Haikuwa riziki Wanangu Cheed na Kili 

My sister Anjella wamemshika akili 

Waambie Konde Gang ni Jeshi la 

Mtu Mbili

Sema Champion 

I'm the winner 

I'm the champion 

Champion Champion 

Aaaah weeee 

I'm the winner 

I'm the champion 

Tumeishi na watu wanao amini kwenye mpango wa mungu kuna mkono wa mtu

Tumeshi na watu wanao amini sikukuu ndio siku ya kuchinja kuku

Ooya wee

Tumeishi na watu ambao walitembea na umeme lakini bado nyumbani walikosa luku

Tukaishi na watu wanao amini bahati bahai zote alipangiwa bukuku

Apo mwanzoni waliamini atutopata mafanikio

Walio tugagilia wakauza mafagio

Eeh mtaani kwetu sio

Mtu aliye toboa sana alitoboa sikio

Chumba kimoja analala dada na kaka

Watu awatupi msosi ata ukichacha

Baba chambazi motto anajiuza mtaani

Mama mchawi nyumbani atabaki nani

Related

ADVERTISEMENT