SHARE

Buruda Lyrics by Jaivah Ft Marioo

SHARE

Jaivah Lyrics

Read and sing aloud Buruda Lyrics by Jaivah Ft Marioo. The song has been well received by fans in Tanzania and beyond

Portrait Photos By Jaivah

Buruda Lyrics by Jaivah Ft Marioo

Intro:
Mmmh Baaad

Melodic Whistle..

Aweeeh Igama lami ngu-Jaivah wena
Aweeeh..Aweeeeeh
Aweeeeeh

(Jaivah)

Verse 1(Jaivah)
Huyo mtoto kaniona kati nimependeza
Kaona dorime,hiyo mitungi juu ya meza
Ananiangalia huku macho analegeza
Nami nampimia,akijitusu natembeza

Huyo mtoto kaniona kati nimependeza
Kaona dorime,hiyo mitungi juu ya meza
Ananiangalia huku macho analegeza
Nami nampimia,akijitusu natembeza

Nikamwambia mitungi,buruda
Washa hata kitu,buruda
Na kama upo fresh na kama sio kesi
Hapa hata mikasi,buruda

Nikamwambia mitungi,buruda
Washa hata kitu,buruda
Na kama upo fresh na kama sio kesi
Hapa hata mikasi,buruda

(Akaniuliza)

Nani jina lako..?!?
Igama lami ngu-Jaivah
Igama lami ngu-Coach
Igama lami ngu-Striker

(Akaniuliza)

Ubani igama lakho..?!?
Igama lami ngu-Jaivah
Igama lami ngu-Coach
Igama lami ngu-Striker

Si mtoto alivyoona venye nimepoa
Ye akanichukulia poa
Na mwanenu nnavyojua kukomoa
Naweka kama natafuta ndoa

Chorus
Nauliza niendelee..niache
(Kwanini uache,kama umelianzisha
Twende mpaka asubuhi)

Nauliza niendelee..niache
(Kwanini uache,kama umelianzisha
Twende mpaka asubuhi)

Verse 2(Marioo)

Aloooooh…
Limenibana kojo kojo kojooo
(Kojo,kojo,kojoo)
Kojo,kojo,kojoo

Nimelewa sioni mbele,sioni nyuma
Sioni juu,sioni chini tundu liko wapi
(La choo)
Sioni mundu,sioni kijema
Kwani njia iko wapi
(Ya chooni)

Kama nawakwaza semeni
(Hautukwazi tajiri)
Kama nawaboa semeni
(Hautukwazi tajiri)
Kama nina gubu semeni
(Hauna gubu tajiri)
Kama ninabaya semeni
(Hauna baya tajiri)

Shiih..
Leo dj nani,chapa ngoma ya Zuchu (honey)
Anapiga nani,hebu ngoja nipokee..Aloooh
(Hey baby please,come back home please,I need you now)
Kumbe shemeji lenu anataka nirudi home
Au ninyi mnasemaje

Nauliza niendelee..niache
(Kwanini uache,kama umelianzisha
Twende mpaka asubuhi)

Nauliza niendelee..niache
(Kwanini uache,kama umelianzisha
Twende mpaka asubuhi)

Chorus
Nauliza niendelee..niache
(Kwanini uache,kama umelianzisha
Twende mpaka asubuhi)

Nauliza niendelee..niache
(Kwanini uache,kama umelianzisha
Twende mpaka asubuhi)

Limenibana kojo kojo kojooo
(Kojo,kojo,kojoo)

Read Other Latest Song Lyrics Here

Get Fresh updates as they drop via Twitter and Facebook

Related

ADVERTISEMENT