SHARE

Bakhresa Lyrics by Harmonize

SHARE

Read the official lyrics to Bakhresa a song by Harmonize. Bakhresa is an ode to one of Tanzania's wealthiest men named Bakhresa and within the song, Harmonize explains the way he is inspired by the low-key lifestyle that Bakhresa has decided to live.

READ ALSO: Harmonize releases new album named "High School"

Harmonize releases a new song named Bakhresa

Read aloud, sing and enjoy Bakhresa Lyrics by Harmonize below :

Intro

Bakhresa…
Bakhre
Bakhre

Bakhresa…yeah!
Konde boy call me
Number One
Number one

Verse 1
Bila shaka haujawahi
Kumuona hata kwa sura
Boss wa karibia
Kila Unacho kula
Huwezi muona kwa
Tv ata kwa dharura
Ingawa yeye ndo
Mwenye king'amuzi

Hana time na mitandao
Yani kuuza sura
Yupo busy na mafao
Pesa mlungula
Angetaka kupita nao
Wote angeshakula
Hana huo muda wa makuziii

Masikini anawapa mitaji
wagawane na watu wazima
Huwezi muona kwenye picha
Na wajane au mayatima
Hawezi kujisifia nyumba
Wala magari range na bimaa
Riziki anagawa muumba
Jalajalali kikubwa uzima!


Sura yake kwako lazima
Itakuwa ngeni
Huwenda ushapishana
Nae kwenye foleni
Maana sio mtu wa
Kupop mashampeni
Yeye sio limbukeni (Yeah)

Chorus

Mfano wa mtu mwenye pesa!
Ooh pesaa!
Aaah!
We mtazame bakhresa!
bakhresa….

Mfano wa mtu mwenye pesaah ah ah!
Ooh pesaaaa
aaaahh…
We mtazame bakhresa!
bakhresa….

I wanna smoke some weed
Uuh uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh uuh
aaaahhhh….

Verse 2

Bakhresa hajawahi kugombea
Cheo au kujisifu na maendeleo
Hawezi kushika pesa akazigawa
Hivi ushasikia bakhresa ana chawa


Akina tajiri mo kipenzi cha
wana simba aah ahh!
Tunawaona insta wakicheza
Nakuimba aah aah aah!
Gharibu boss wa yanga na GSM
Yeye ana utaratibu wa kwenda
Kwa mkapa kucheki game
Sio mbaya ila uwezi kumuona
Bakhresa akijisifu na pesa
Na majigambo rumbesa
(Bakhresa aah aah)
Mtanzania pekee aliyee juu
Ya bakhresa ni raisi
Wa jamuhuri maana yeye ni taasisi
OOh
And guess what mama yuko peace
Na ukimuona ametokea akiongea
Ni kwaajili yetu sisi

Wakati unajigamba wa mbezi beach
Bakhresa ana mashamba huko kijichi
Ebu acha ushamba pesa haijifichi
Eti I gat too much money am so rich

Chorus

Mfano wa mtu mwenye pesa!
Ooh pesaa!
Aaah!
We mtazame bakhresa!
bakhresa….
Mfano wa mtu mwenye pesaah ah ah!
Ooh pesaaaa
aaaahh…
We mtazame bakhresa!
bakhresa….

I wanna smoke some weed
Uuh uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh uuhYaw yaw
Tell them boys
We got this new money
And we live low key baby…
Jeshii

Related

ADVERTISEMENT