SHARE

Mapenzi Ya Nairobi Lyrics by Rekles & Mejja

SHARE

Rekles Lyrics

Get ready to enjoy Mapenzi Ya Nairobi Lyrics by Rekles & Mejja. With their infectious rhythms and vibrant storytelling, Rekles & Meja have created a musical experience that's bound to get you on your feet.

A photo of Mejja, Tanzanian rapper

Mapenzi Ya Nairobi Lyrics - Rekles & Mejja

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mimi mapenzi ya Nairobi sidai

Lazma umwage noti ndo akunoki buda

Akikuuliza uko wapi, mwambie si shidake

Ndo ajue we si nani? Ndo ajue we si wake

Mimi mapenzi ya Nairobi sidai

Lazma umwage noti ndo njoti ikam

Akikuuliza uko wapi, mwambie si shidake

Ndo ajue we si nani? Ndo ajue we si wake

Mapenzi ya Nairobi sidai

Dem haezi kupenda kama huna ndae

Na si gari tu

Ukikuja na Demio anakudharau tu

Cashmoney, cashmoney
Love language yao cashmoney
Sura mbaya na cashmoney
Na unaishi Kilimani, utakula hawa mamanzi

Ukitaka manzi wa Nairobi
Mzinga roadtrip Lamu
Atakuambia ako free anakamu
Peke yake anapandaga matatu
Akiwa na wewe anapanda Uber
Ata make sure umetumia doh kumkula
Mapenzi ni kumlipia bills
Manzi wa Kanairo, hapo atakufeel

Cashmoney, cashmoney
Love language yao cashmoney
Sura mbaya na cashmoney
Na unaishi Kilimani, utakula hawa mamanzi

Ukitaka manzi wa Nairobi
Mzinga roadtrip Lamu
Atakuambia ako free anakamu
Peke yake anapandaga matatu
Akiwa na wewe anapanda Uber
Ata make sure umetumia doh kumkula
Mapenzi ni kumlipia bills
Manzi wa Kanairo, hapo atakufeel

Mimi mapenzi ya Nairobi sidai

Lazma umwage noti ndo akunoki buda

Akikuuliza uko wapi, mwambie si shidake

Ndo ajue we si nani? Ndo ajue we si wake

Mimi mapenzi ya Nairobi sidai

Lazma umwage noti ndo njoti ikam

Akikuuliza uko wapi, mwambie si shidake

Ndo ajue we si nani? Ndo ajue we si wake

Mimi mapenzi ya Nairobi sidai

Lazma umwage noti ndo njoti ikam

Akikuuliza uko wapi, mwambie si shidake

Ndo ajue we si nani? Ndo ajue we si wake

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mapenzi ya Nairobi sidai

(Chain chain inaeza kuwa ya mtu saba)

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mapenzi ya Nairobi sidai

(Unajua Chain chain inaeza kuwa ya mtu saba)

Acha niwape story, kuna fine girl

Tulipatana sato flani ndani ya bukla

Akaninice nikajichocha na nikamkuta

Figa fine, luku safi na pia ako na sura

One two nikatupa lugha

Ikifika pande ya mistari mi hujitambua

Si kujichocha ni kujibonga

Ukiuliza hadi mtaani wananijua

Tayari toto mali safi ashaingia box

Nikamwitisha namba na nikamshow nitamcall

After kuvibe wiki kadhaa

Tukaamua kucuff tukakua malovebirds

Tukianza ilikuwa fun

Na ju mi mtu maconnection

Nikamsakia mboka

Nikamlipia rent na depo si ati nimeomoka

Job ikaivana mshahara akaanza kupata

Nikakuja kupata ka ako wera

Dosi pia huigonga

Mimi mapenzi ya Nairobi sidai

Lazma umwage noti ndo akunoki buda

Akikuuliza uko wapi, mwambie si shidake

Ndo ajue we si nani? Ndo ajue we si wake

Mimi mapenzi ya Nairobi sidai

Lazma umwage noti ndo njoti ikam

Akikuuliza uko wapi, mwambie si shidake

Ndo ajue we si nani? Ndo ajue we si wake

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mapenzi ya Nairobi sidai

Mapenzi ya Nairobi sidai

(Chain chain inaeza kuwa ya mtu saba)

Usifurahie sana, ka ushaichapa

Ju ka huko rada

(Unajua Chain chain inaeza kuwa ya mtu saba)

Explore Other Music Lyrics Here

Get Fresh updates as they drop via Twitter and Facebook

Related

ADVERTISEMENT