SHARE

Dharau Lyrics By Ibraah Ft Harmonize

SHARE

Read and sing aloud Dharau Lyrics by Ibraah Featuring Harmonize. The song has been well received in Tanzania.

READ ALSO: 'I Made It' Lyrics by Harmonize ft Bobby Shmurda & Bien

Read Dharau Lyrics By Ibraah Ft Harmonize Below:

Mmh Bomboclat

Mungu alonipa ukilema hawezi ninyima mwendo
Na sikupanga imenibidi kulivua pendo
Maana mwanzo nilidhani umebadilika
Ofcourse hakuna aliekamilika
Masaa masiku miaka imekatika
Nachukia nikijiona nikilalamika

Bora ugali dagaa kwenye amani
Kuliko wali nyama vitani
Mateso vitimbwi purukushani
Kama unajiona kichwa shingo nani

Bora ugali dagaa kwenye amani
Kuliko wali nyama vitani
Mateso vitimbwi purukushani
Kama unajiona kichwa shingo nani

Mi sipendi dharau manyanyaso masimango siwezi siwezi

Dharau manyanyaso dharau masimango siwezi siwezi

Me nilidhulumu nafsi kujirikirihisha
Nikiamini mi mtu wa mtu
Kumbe bora ningechukuchuku
Aaaah kidogo ningefanya utukutu
Moyo ndo ulikupa nafasi kunisikitisha nilichoambulia maumivu tu
Bora ningechukuchuku
Ama ningewapa watu wakifanye supu
Kwako nilikuwa nyendo nikijua you are my destiny
Sina wa kumtunzia heshima kama hata wewe nitashindwa kukuthamini
Nitakwenda utakwenda mazima
Japo itakuwa ngumu kuamini
Nitamisi michezo ya mama Amina
Kwa kucheza kwa kuburuza ulimi

Mapenzi ulionipa wewe
Walai sikutamani mwingine we wa kiapo
Mwenzangu umebadilika wewe
Japo mi nakupa kila utakacho

Bora ugali dagaa kwenye amani
Kuliko wali nyama vitani
Mateso vitimbwi purukushani
Kama unajiona kichwa shingo nani

Mi sipendi dharau manyanyaso masimango siwezi siwezi

Dharau manyanyaso dharau masimango siwezi siwezi

Related

ADVERTISEMENT