SHARE

Read Kwa Bar Lyrics by Odi Wa Muranga Ft Fathermoh & Harry Craze

SHARE

Read Kwa Bar Lyrics by Odi Wa Muranga Ft Fathermoh & Harry Craze. The song has been well-received by fans in Kenya and beyond.

READ ALSO: Read Siko Sure Lyrics by Nadia Mukami ft Darassa

Read Kwa Bar Lyrics by Odi Wa Muranga Ft Fathermoh & Harry Craze below:

Yeah! Odi wa Muranga, yeah ah

Mode wa mao (yeah yeah)

Alisema hatuendi mbali

Hapa ni wapi? (Kwa bar)

Mzinga ni ngapi? (Ah mzinga nga nga)

Mode wa mao (yeah yeah)

Alisema hatuendi mbali

Hapa ni wapi? (Kwa bar)

Mzinga ni ngapi? (Ah mzinga nga nga)

Hapa pahali imefika, bado ijazama

Mta mtoto wa mode wa mao anachora saba

Viboko ulitupiga zinamramba

Ah akina Kevo wanamkulia shamba

Finger licking

Swinger, licking sweet

Finger licking

Chuom mi naua ua

Dem yako yukuita hunnie

Mi kwake maua

Ulikuja na nini kwa sahani

Ni jaba najua

Ati soft cut skin na yangu haivai bra

Na yangu hukua job kushinda mode wa math

Inang’aa inachafuka, inang’aa dada

Na ni long shinda kiki ya manzi wa Kibra

Mode wa mao (yeah yeah)

Alisema hatuendi mbali

Hapa ni wapi? (Kwa bar)

Mzinga ni ngapi? (Ah mzinga nga nga)

Mode wa mao (yeah yeah)

Alisema hatuendi mbali

Hapa ni wapi? (Kwa bar)

Mzinga ni ngapi? (Ah mzinga nga nga)

Siku hizi mi hukula kile nadai, walai ticha

Siku hizi mi hushinda ndani ya ndae, nikizunguka

Siku hizi hadi landi yuniitaanga form, namzungusha

Siku hizi hadi nikichomanga kindom, siwezi jificha

Niko so so, ahead of my time

Huwezi nieka bro zone, ananipotezeanga time

Siz ya Mr. Mburu yutext kila time

Sikupenda mao ju ya kufloat kila time

Issa lie, issa lie, issa lie

Walai teacher

I’m fine, I’m fine, I’m fine

Si kuteseka

Issa lie, issa lie, issa lie

Walai teacher

I’m fine, I’m fine, I’m fine

Si kuteseka

Mode wa mao (yeah yeah)

Alisema hatuendi mbali

Hapa ni wapi? (Kwa bar)

Mzinga ni ngapi? (Ah mzinga nga nga)

Mode wa mao (yeah yeah)

Alisema hatuendi mbali

Hapa ni wapi? (Kwa bar)

Mzinga ni ngapi? (Ah mzinga nga nga)

Akihema, akihema

Dem ako na big denda, big denda

Acha niwape sinema, sinema

Saa tano mchana na bado mimi sijatema

Penye tumetoka huwezi guess ni wapi

But penye tumefika unaeza tell ni wapi (Kwa bar)

Mzinga zinadedi ka ni ajali

Skiza Neo kwanza venye anabonga kilami (Nonsense)

Mode nilimpata kama amezima

Akapoteza macho akadhani hakuna stima

Siku hizi zabe kazi ni kuririma

Kuamka kung’ara na kuchoma liver

Mode wa mao (yeah yeah)

Alisema hatuendi mbali

Hapa ni wapi? (Kwa bar)

Mzinga ni ngapi? (Ah mzinga nga nga)

Mode wa mao (yeah yeah)

Alisema hatuendi mbali

Hapa ni wapi? (Kwa bar)

Mzinga ni ngapi? (Ah mzinga nga nga)

Related

ADVERTISEMENT