SHARE

Bachela Lyrics by Nay Wa Mitego

SHARE

Read and sing aloud Bachela Lyrics by Nay Wa Mitego. The song has been well-received by fans in East Africa and beyond.

READ ALSO: Read 'Amkeni' Lyrics By Nay Wa Mitego

Read and sing aloud Bachela Lyrics by Nay Wa Mitego below:

Sisi ndo mabachela bachela 

Hatutaki ndoa mabachela bachela 

Tunakula ujana mabachela bachela 

Waache waoane 

Okay lets go 

Mi ni chizi wa mapenzi 

Na nina upendo 

Ila kuhusu ndoa ndo sina mpango 

Na ukipata niliyemuacha hauzibi pengo

Ndoa lini hizo kelele za chura kwa tembo 

Guys listen to me napenda kuwa free 

Wengi wapo kwenye ndoa na hawatulii 

Nikisema ndoa ndoa hata mnitangaze BBC

Palipo furaha nipo kama moyo wangu una WiFi 

Bachela vibe ni confidence maisha ni kuchagua tumechagua hapiness 

Happiest no ndoa no stress vichwa vina mambo mengi tuna-refresh 

Mi na shemeji yenu daily tuna-party 

Mambo ya ndoa wote hatuyataki 

Purukushani unarudi saa ngapi unachati na nani ndo vitu hatutaki 

Bachelaz michango tutachanga changa 

Kwenye harusi tutakuja kuja 

Chakula tutakula kula 

Na pombe tutalewa lewa 

Wenyewe si bado tupo si bado tupo 

Hivi wakina nani nyie 

Sisi ndo mabachela bachela 

Hatutaki ndoa mabachela bachela 

Tunakula ujana mabachela bachela 

Waache waoane 

Sing again bachelors 

Sisi ndo mabachela bachela 

Hatutaki ndoa mabachela bachela 

Tunakula ujana mabachela bachela 

Waache waoane okay 

Related

ADVERTISEMENT