SHARE

Read My Life Lyrics By Marioo

SHARE

Read, sing aloud and enjoy My Life Lyrics By Marioo. The song is the lead single from Marioo's upcoming album titled "The Boy You Know".

READ ALSO: Read Sina Baya Lyrics By Marioo

Read My Life Lyrics By Marioo Below:

VERSE 1

Wanasemaga nabii hakubaliki kwao (kwaooo)

Hata mi walikuwepo wakunipinga kitaani

Walisemaga wahenga eti mtu kwao (kwaoo)

Wachache walikuwepo wakaniamini kitaani

Aaah kutoka home mpaka studio kwa miguu

Viwalo vipya kutupia sikukuu

Nguo mbaya imepaukaa kuukuu

Kula yangu anayeijua aliye juu

Mmmh, yeeaah, aaah

BRIDGE

Mungu hakunyimi vyote

Akikupa kilema atakupa na mwendo

Sawa sijasoma ila kanipa kipaji nitimize malengo

CHORUS

Never never never, never give up (never)

Never never never, never give up (never)

VERSE 2

Ilikuwa kama movie ila tumeishi kwa raha

Wanaotukwamishaga tunawaona kama changamoto

Leo imekuwa kama movie ila tumeishi kwa raha

Tuna mipira na kila zana ujana maji ya moto

Asante sana kwa kunifanya superstar

Leo najulikana kila kona ya mtaa

Asante mama mwanao kipenzi cha watu

Napendwa sana kona zote za mtaa

BRIDGE

Mungu hakunyimi vyote

Akikupa kilema atakupa na mwendo

Sawa sijasoma ila kanipa kipaji nitimize malengo

CHORUS

Never never never, never give up (never)

Never never never, never give up (never)

Related

ADVERTISEMENT