SHARE

Read Punguza Ego Lyrics By Mejja

SHARE

Read, sing aloud enjoy Punguza Ego Lyrics By Mejja. The song is well received in Kenya and East Africa in general.

READ ALSO: VIDEO: Bensoul ft. Sauti Sol, Nviiri the Storyteller, Mejja - Nairobi

Read Punguza Ego Lyrics By Mejja Below:

Nilikuwa na beste alikuwa anaitwa ego

Nilikuwa napenda sana form za ego

Nimepoteza vitu mob, juu ya ego

Ako ka ego, ah punguza ego e-ego

Nilikuwa na dem nilikuwa napenda sana

Aka kadem nilijua tutaoana

Nilishtuka vile tuliachana, juu ya ego

Tukikosana, singekubali kuwa wa kwanza kupiga

simu

Nikisikia kupiga, karoho kananiambia "Usipige"

Ah, saa niko single, ah juu ya ego

Nilingoja anipigie, alichoka akapigia chali

mwingine

Imagine ningeweka ego chini, nipige simu

ningekuwa na bibi

Imagine nilichagua ego, na hiyo life ikanihumble, haha 

Nilikuwa na beste alikuwa anaitwa ego (Ego)

Nilikuwa napenda sana form za ego (Ego)

Nimepoteza vitu mob, juu ya ego

Ako ka ego, ah punguza ego e-ego

A rich man's joke is always funny, so funny

Tunacheka na unabore, we just want your money,

ha-ha your money

Tunapapasa ego ndio utoboke mfuko

Tukule pesa yako tukimaliza tukuwache pekee

yako, ah

Ni juzi tu manze ulienda Dubai, ukikuja Kenya eh unajidai

"Is it safe? Huko Umo ni safe?"

Mmmh si ulizaliwa huko, punguza tumaringo

Acha ka ego msupa kabla life ikuhumble, ah

Nilikuwa na beste alikuwa anaitwa ego (Ego)

Nilikuwa napenda sana form za ego (Ego)

Nimepoteza vitu mob, juu ya ego

Ako ka ego, ah punguza ego e-ego

Punguza Ego - Mejja

Related

ADVERTISEMENT