SHARE

Read Napendwa Lyrics By Kusah

SHARE

Read Napendwa Lyrics By Kusah. The song is Kusah's second song in 2023 and it is expected to make waves in East Africa.

READ ALSO: 'Wasiwasi' Lyrics By Kusah

Read Napendwa Lyrics By Kusah Below:

VERSE 1

Walahy mimi ,sitaki kitu sitaki chochote 

Nataka mapenzi,

Kama sio hivyo mtanizika 

Siumwi kitu siumwi chochote me 

Naumwa mapenzi 

Jama mwenzenu nimeridhika 

Na Bado , akinipa ananipa 

Na Kuna siku tunapaa 

Funua funika aah..

Na tunafika kwenye paa 

Eti will you marry me 

Will you marry me?

Honey will you marry me 

Mmh will you marry me ?

Eti will you marry me 

Will you marry me?

Honey will you marry me 

will you marry me ?

CHORUS 

Mwenzenu niwaambieee 

Sijawahi mimi 

Kupendwa hivi 

Mwenzenu niwaambieee 

Napendwa mimi 

Kushinda nyinyi 

VERSE 2

Oya weee 

Hili Penzi liko huku

Napewa vitamu huku 

Kuna udambwi udambwi huku

Mbwembwe nyingi 

Mambo kibaoo 

Na tena mwenzenu huku 

Nimejawa na shauku 

Natamani yavuke huku 

Tufike kwao 

Me na yeye kitambooo 

Tushamshinda shetani 

Mambo yakwetu ya ndani 

Hayatoki nje ni ya ndani kwa ndani 

Na ananipa mambooo

Sio chini kitandani 

Tukigombana kwa ndani 

Hayatoki nje yanaishia kitandani 

Eti will you marry me 

Will you marry me?

Honey will you marry me 

Mmh will you marry me ?

Eti will you marry me 

Will you marry me?

Honey will you marry me 

Mmh will you marry me ?

CHORUS 

Mwenzenu niwaambieee 

Sijawahi mimi 

Kupendwa hivi 

Mwenzenu niwaambieee 

Napendwa mimi 

Kushinda nyinyi

Napendwa - Kusah

Related

ADVERTISEMENT