SHARE

Read Nampenda Lyrics By Barnaba Classic

SHARE

Read Nampenda Lyrics By Barnaba Classic. The song is the first project from Barnaba Classic since releasing his "Love Sounds Different" album.

READ ALSO: Read Tamu Lyrics By Barnaba Classic Featuring Nandy

Read Nampenda Lyrics By Barnaba Classic Below:

Oooh oooh 

Shida iko moja bado nampenda 

Kumuacha sidhani ntaweza 

Chapisheni magazeti gari 

limefunga break kwake 

Kama ni mechi nampa joleva 

Mechi zote kwake nishacheza 

Slishwi wali mbichi nalishwa mpaka vya ndichi 

Mizigo abebe punda 

Si kubebeshana huwaga si rahisi 

Gari la mahaba twachunga 

Hawakosekani mafisi 

Mashaallah huba wangu limenikolea 

Siambiwi sisikii penzi lake

 pombe nimelewa 

Jamani limetoshelea 

Hakuna space ya kuchiti space ya usaliti 

Ukituona wawili tumedumu 

Ujue basi nampenda 

Mishale ni mingi haikuwa rahisi namoenda 

Nishawahi kumuacha ashawahi niacha ila 

Ananipenda 

Na tukirudiana penzi kama jipya 

Ananipenda 

Aaaah aaah 

Kazi kutukana 

Mitandaoni na mabando ya kukopa 

Kujifanya na mnatujua 

Kuliko wale waliotuzaa 

Tulikotoka 

Ooh Mopao kawa mohamed 

Kisa mapenzi 

Kabadili dini 

Kipi cha kushangaza maisha yetu 

Yanawahusu nini 

Kama Mungu tunayemuabudu 

Sote ni mmoja iwe pepo iwe motoji 

Sote njia yetu ni moja 

Walahi maneno yao yangekuwa mimba tayari 

Matumbo yetu 

Yangevimba bibi 

Kumridhisha mwanadam kazi 

Mizigo abebe punda 

Si kubebeshana huwaga si rahisi 

Gari la mahaba twachunga 

Hawakosekani mafisi 

Mashaallah huba wangu limenikolea 

Siambiwi sisikii penzi lake

 pombe nimelewa 

Jamani limetoshelea 

Hakuna space ya kuchiti space ya usaliti 

Ukituona wawili tumedumu 

Ujue basi nampenda 

Mishale ni mingi haikuwa rahisi namoenda 

Nishawahi kumuacha ashawahi niacha ila 

Ananipenda 

Na tukirudiana penzi kama jipya 

Ananipenda 

Nampenda - Barnaba Classic

Related

ADVERTISEMENT