SHARE

Read 'Love Song' Lyrics By Marioo Ft Ali Kiba

SHARE

Read Love Song Lyrics By Marioo Ft Ali Kiba. The song has been well-received by fans in Tanzania and beyond.

READ ALSO: Read Sumu Lyrics By Ali Kiba Featuring Marioo

Read Love Song Lyrics By Marioo Ft Ali Kiba Below:

Yeah Oooh 

Yooooh 

Mmmh 

Ah nipende sana mi nataka wale 

Walosema kwamba utaniacha wanune 

Tupendane yani mpaka wale 

Walosubiri tuachane wachunde 

Acha wakae vikao wamalize waganga 

Yanawashinda ya kwao waone kama waganga 

Waone kama waganga hao hao 

Hatuli hatulai kwao 

Unawaponza uganga aaaah 

Huoni hata sura zao mbayaa aaah 

Wananitaka mi siwataki 

Nakutaka wewe tu 

Wakonifuata nakimbia

Nakufuata wewe tu 

Asawe ukitaka mi nilie 

Amua wewe tu 

Ama nitoke hadharani niseme 

I I love you 

Aaaah Aaaah 

Nakukunda jete teamo tequeiro 

Ya Skreta Qui 

Honey nakupenda 

Aaaah kila siku nakuona mpya 

Aaah kila siku nikikuona

Nakuona we mzuri wewe

Aaah ila mara yako wewe naona taa taa 

Hapa bado namuomba Mungu 

Wa mwisho ni wewe 

Wananitaka mi siwataki 

Nakutaka wewe eeh 

Wakinifuata nakimbia mbio 

Nakufata wewe tu 

Hata ukitaka mi nilie 

Utaamua wewe tu 

Hata ukitaka nitoke hadharani 

Nitangaze kwamba 

I love you I love you 

I love you I love you 

Related

ADVERTISEMENT