SHARE

Kosa Lyrics by Lody Music

SHARE

Read and sing aloud Kosa Lyrics by Lody Music. The song has been well-received by fans in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Dah! Lyrics by Nandy

Read Kosa Lyrics by Lody Music below:

Naona unanawiri unanenepa 

Uzuri umekithiri

Sijapona donda ndugu limenishika 

Penzi letu lilifeli 

Uoooh mi si ndo umenikinai 

Unasema sinogi tena 

We huko tu unafurahi 

Kilichoniponza wema 

Nnavyofika sinai ndo maana hunitaki tena 

Usitaje tu mabaya na mazuri yangu sema 

Ibilisi kaingia Ibilisi kaleta dosari 

Nakesha na Biblia 

Kutwa naishika rozari 

Unanifanya nalia mi dhoofu wa hali 

Kipi nimekufanyia malipo yamekuwa 

Ya shari 

Kosa kosa langu kukupenda wewe 

Kosa langu kukupenda wewe

Kosa langu kukupenda wewe

Kosa langu kukupenda wewe

Darubini yangu ilishinda kuona mbali 

Ningejua nisingekuthamini 

Maumivu yangu zaidi ya kugongwa tofali 

Ungejua nilivyokuaminia 

Ya Habibi niachie tunda langu 

Wafaidi naumia peke yangu 

Mashahidi hawako upande wangu 

Na nazidi kuumiza moyo wangu 

Mi si ndo umenikinai 

Unasema sinogi tena 

We huko tu unafurahi 

Kilichoniponza wema 

Nnavyofika sinai ndo maana hunitaki tena 

Usitaje tu mabaya na mazuri yangu sema

Kosa kosa langu kukupenda wewe 

Kosa langu kukupenda wewe

Kosa langu kukupenda wewe

Kosa langu kukupenda wewe

Related

ADVERTISEMENT