SHARE

Read Tiririka Lyrics By Yammi

SHARE

Read Tiririka Lyrics By Yammi. The song has been well-received by fans in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Read Tunapendezana Lyrics By Yammi

Read Tiririka Lyrics By Yammi Below:

Mapenzi yamenibadilisha 

Siku hizi sinaga ubabe 

Nishakuwa guta niache moyoni 

Niyabebe baby 

Mimi ni kuku wako ukitaka 

Mayai niyatage sema 

Na ukiona na ujinga 

We nisitiri usinibwage 

Sina matamanio nishavukaga huko 

Sintoivua vazi la heshima 

Ulionivisha kwa upendo 

Sina matarajip ya kuondoka kwako 

Dunia imeshabadili wengi 

Wakawa vituko 

Mapenzi sio mchezo wa ngumi 

Nipige na khanga au ukuni 

Hata ukinifinya finya haiumi 

Naona raha 

Naisoma namba kwa kirumi 

Huu mchezo gani mbona wa kihuni 

Hata ukinifinya finya haiumi 

Aaaah naona raha 

Unanijaza upendo mpaka unatiririka 

Tiriririii 

Unanitiririka Tiriririii

Tiriririii Tiriririii

Upendo unanitiririka mie

Tiriririii Tiriririii

Ahaaaaa Ahaaaa 

Tiriririka kama si diaba 

Najaza ndoo 

Raha nnazompa 

Eti kama marhaba 

Nikimpa shikamoo 

Haniachi njiani nafika 

Mi kwake Yes sisemi No 

Siwezagi kususa nisipomuona 

Wafukuta moyo 

Asante angalau umenionesha 

Maana ya upendo 

Na sio kwa nahau (kwa nahau) 

Umenionesha kwa vitendo 

Sitokaaga nisahau 

Nilinyanyasika hapo mwanzo 

Niliyaoga madharau 

Kwa kumpenda asiojali upendo 

Mapenzi sio mchezo wa ngumi 

Nipige na khanga au ukuni 

Hata ukinifinya finya haiumi 

Naona raha 

Naisoma namba kwa kirumi 

Huu mchezo gani mbona wa kihuni 

Hata ukinifinya finya haiumi 

Aaaah naona raha 

Unanijaza upendo mpaka unatiririka 

Tiriririii 

Unanitiririka Tiriririii

Tiriririii Tiriririii

Upendo unanitiririka mie

Tiriririii Tiriririii

Related

ADVERTISEMENT