SHARE

Read Blessing Lyrics By Anjella

SHARE

Read And Enjoy Blessing Lyrics By Anjella. The inspiration song has been well received by fans in East Africa and beyond.

READ ALSO: Kioo Lyrics By Anjella Ft Harmonize

Read Blessing Lyrics By Anjella Below:

Mziki kwangu mi ulikuaga ndoto 

Na sikuitimiza kwa kulala 

Napitia nyingi changamoto 

Yote kuukimbia ufukara 

Kipindi naungaunga kwenye soko 

Yani nasongesha miamala 

Nikaona tu nijiunge na jeshi 

Ili mradi na mimi niwe imara 

Jeshi lilinifanya nijipinde 

Ili mradi tu na mimi niwe juu 

Plan nije kuwa komando Jide 

Ama niwe amiri jeshi mkuu 

Yalipoanza mambo ya gwaride 

Hapo nikanyoosha mikono juu 

Kilichofanya yanishinde 

Ni matatizo ya miguu 

Waliponiacha macho juu 

Na kuninyamazisha mdomo 

Mi nina tatizo la miguu

Wao wakaniunga mkono 

Nitakuwa mchoyo wa fadhila kwenye 

Maisha yangu nikiacha kushukuru 

Maana amani ya moyo wangu 

Naomba Mungu wangu aniangazie nuru 

Na nikisema nilikopita njia ilikuwa mbaya 

Nitakuwa nakufuru 

Huenda pengine Mungu wangu

Alipanga nipite ili nije kufaulu 

Eeeeh i feel bless bless 

Coz God have mercy 

Hata kama ulichonacho mie sina mmmh

I feel bless bless 

Coz God have mercy 

Mi nilishafeli mara kadhaa 

Na maisha mbona yangenishinda 

Kama ningekataga tamaa eeeh

Acha nisonge mbele kwa hekima 

Waliosema watasimama nami 

Wamevuta kiti wamekaa 

Eeeh kuna muda napitia simanzi 

Usiku na mchana 

Jitahidi kufanya kazi 

Ipo siku utasimama 

Me nimetokea uswazi 

Uswahilini sana 

Kwetu hakuna ugomvi 

Ila waru wanapambana 

Kuna muda mapenzi 

Yanaweza yakakutoa kwenye reli 

Maana kuna wapenzi wanapenda 

Kukuona unavyofeli 

Na tatizo la mapenzi 

Mapenzi yana nguvu kweli kweli 

Kwani ws hukusikia 

Kuna mua huko ulizamisha melu eeeh 

 Nitakuwa mchoyo wa fadhila kwenye 

Maisha yangu nikiacha kushukuru 

Maana amani ya moyo wangu 

Naomba Mungu wangu aniangazie nuru 

Na nikisema nilikopita njia ilikuwa mbaya 

Nitakuwa nakufuru 

Huenda pengine Mungu wangu

Alipanga nipite ili nije kufaulu 

Eeeeh i feel bless bless 

Coz God have mercy 

Hata kama ulichonacho mie sina mmmh

I feel bless bless 

Coz God have mercy 

Related

ADVERTISEMENT