SHARE

Read Tamba Lyrics By Barnaba Classic Featuring Kusah

SHARE

Read, sing aloud and enjoy Tamba Lyrics By Barnaba Classic Featuring Kusah. The song is found in Barnaba Classic's recently released album "Love Sounds Different"

Barnaba Tamba Lyrics

READ ALSO: Read Only You Lyrics By Barnaba Classic Featuring Jay Melody

Read, sing aloud and enjoy Tamba Lyrics By Barnaba Classic Featuring Kusah Below:

CHORUS

Nikupe nini waubani (tamba) nakuona mpya si wa zamani (tamba) au nikubandike bangoni (tamba) au nitangazege (hadharani)

Hizo zima shida zetu baby (tamba) acha wayauze magazeti baby (tamba) nipende nipeti peti baby (tamba) waseme wakuchoka watalala

VERSE 1

Oooh baby penzi upepo wa bahari penzi letu linapepea nananaa

Wambea wakae mbali hiki kimbunga watapotea

Ukweli ni kwamba mapenzi unayonipa nahisi dunia yangu,

Utadhani nimechanja ninavyomwaika sio akili zangu.

Akili ya mapenzi ikaunda tenzi tenzi, nimekuwa mjinga kwenye penzi lako sijiwezi

Upofu wa mapenzi kwingine sioni mpenzi, najifunga kauli kwenye penzi lako sijiwezi

CHORUS

Nikupe nini waubani (tamba) nakuona mpya si wa zamani (tamba) au nikubandike bangoni (tamba) au nitangazege (hadharani)

Hizo zima shida zetu baby (tamba) acha wayauze magazeti baby (tamba) nipende nipeti peti baby (tamba) waseme wakichoka watalala

VERSE 2

Penzi letu njiapanda hawatuwezi propaganda acha tuvune tulipanda Mmmh darling

Nawahi nyumbani kukesha nawe ukiwaga mbali presha my way kama ni mzizi shina ndo wewe watuache mpenzi

Ongeza madoido baby sasa ndumba za nini ushaniroga chumbani waja wana maneno acha watwange maneno sikuachi

Nimenasa zizini buchani kelele za nini waja wana maneno acha watwange maneno, sikuachi Aaaaha

CHORUS

Nikupe nini waubani (tamba) nakuona mpya si wa zamani (tamba) au nikubandike bangoni (tamba) au nitangazege (hadharani)

Hizo zima shida zetu baby (tamba) acha wayauze magazeti baby (tamba) nipende nipeti peti baby (tamba) waseme wakichoka watalala

Related

ADVERTISEMENT