SHARE

Read Wewe Lyrics by Kontawa

SHARE

Read and sing aloud Wewe Lyrics by Kontawa. The song has been well received by fans in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Read 'Mwalimu' Lyrics By Kontawa

Read Wewe Lyrics by Kontawa below:

Ni kweli pesa sina 

Nacheza michezo ya bahati nasibu

Nami nakomaaa Aaaaah 

Nishike vipesa kama kina Nasibu 

Madubu ya wachina 

Yanamaliza vichenji kila nikijaribu 

Hivi leo ntakula kweli 

Namuuliza mwanangu Ibrahimu Ajibu 

Kuna wanangu wavuvi 

Baharini wanavua fish 

Ila wakipata kidogo 

Mtaani wanavua pisi 

Af kuna huyo fundi ujenzi babu magege

Yeye kutwa anabeba zege 

Ila ukimwambia njoo kuna mabebe 

Anakuja na fuko la chips zege 

Ni kweli walichonacho hatuna 

Na bado tuko geto tuna-hustle 

Midomo tumepewa kutafuna

Kwanini tuishie kula kwa macho

Mwendo wa kukesha nao 

Kama popopoooo 

Tukijichanganya na watoto 

Tunasahau shida na changamoto 

Ni mwendo wa mitungi na misokoto 

Wewe weee Wewe weee 

Wewe weee Wewe weee 

Yaani party after party 

Wewe weee Wewe weee 

Wewe weee Wewe weee 

Yaani party after party 

Mwanangu fundi garage 

Anatembea na spana 

Badala akaze nati 

Akiona mademu anawaza kukazana 

Wanangu wachina na bodaboda 

Wachimba madini na wabeba poda 

Wazee wa kuzamia wakuvuka boda 

Kwenye kutumia hatunaga uoga 

Ukitupa ushauri na saa

Tunachukua saa kutafuta shida

Kutumia raha 

Asiependa amani anapebda pisi baba 

Yaani nyumba inapaa ndege inapaa

Ni kweli walichonacho hatuna 

Na bado tuko geto tuna-hustle 

Midomo tumepewa kutafuna

Kwanini tuishie kula kwa macho

Mwendo wa kukesha nao 

Kama popopoooo 

Tukijichanganya na watoto 

Tunasahau shida na changamoto 

Ni mwendo wa mitungi na misokoto 

Wewe weee Wewe weee 

Wewe weee Wewe weee 

Yaani party after party 

Wewe weee Wewe weee 

Wewe weee Wewe weee 

Yaani party after party 

Related

ADVERTISEMENT