SHARE

Read Utaniua Lyrics By Kusah

SHARE

Read, enjoy and sing aloud Utaniua Lyrics By Kusah. The song has been well received by fans in Tanzania and East Africa.

Kusah

READ ALSO: Shemeji Yenu Lyrics By Kusah | READ

Read, enjoy and sing aloud Utaniua Lyrics By Kusah Below:

Nikikuona nanyamaza hata kama nilikua nalia

Macho unayapumbaza raha zinazidi zinalia

Upepo utoke magharibi yaani uvume pwani ama bara

Hizi raha zanizidi mimi huba lako latawala

Nataka nitangaze kwa redio na nataka wasikie na wenzio

Penzi lako lapeleka mbio na baby wewe kichwa me sikio

Nataka nitangaze kwa redio na nataka wasikie na wenzio

Penzi lako lapeleka mbio na baby wewe kichwa me sikio

Ukizidisha utaniua walahi utaniua, Ukizidisha utaniua walahi utaniua

Habibty leo pombe na muziki maisha yetu sio ya kiki wasitingishe kibiriti

Penzi letu ni mchongo (Mmmmh)

Usiwaoe hata uso wale kule wape mugongo (Mmmmh mmmmh)

Nataka nitangaze kwa redio na nataka wasikie na wenzio

Penzi lako lapeleka mbio na baby wewe kichwa me sikio

Nataka nitangaze kwa redio na nataka wasikie na wenzio

Penzi lako lapeleka mbio na baby wewe kichwa me sikio

Ukizidisha utaniua walahi utaniua, Ukizidisha utaniua walahi utaniua

Related

ADVERTISEMENT