SHARE

Read Mbalamwezi Lyrics By Kontawa Ft Jay Melody

SHARE

Read Mbalamwezi Lyrics By Kontawa Ft Jay Melody. The song has been well received in Tanzania and East Africa.

READ ALSO: Read Falling Again Lyrics By Kontawa

Read Mbalamwezi Lyrics By Kontawa Ft Jay Melody Below:

Mi na wewe kabla hatujawa wapenzi 

Tulikutana club ukanipa one night stand 

Ile siku nilikuwa na maumivu kishenzi 

Me na Ex wangu ndo tuliachana stand 

Nilikuwaga nauza banga na vijiti 

Nilijitoa sana ili mradi ye aishi 

Ila bado alinicheat 

Sa ningefanya nini na 

Nimemfuma na polisi 

Kumbe mapenzi siti ya daladala 

Kashuka yeye umepanda wewe 

Hata nikiwa na njaa usinipe chakula 

Mama nataka nikule wewe 

Niseme kweli sijielewi 

Raha za hii sayari 

Ndo zimenichanganya mi 

Haya mapenzi ibaki kheri 

Kukuachia siwezi nishakuweka moyoni 

Unang’ara kama mbalamwezi 

Hata nikilala nakuota mpenzi 

Baby si unajua kukuacha siwezi 

Yani unang’ara kama mbalamwezi 

Unang’ara kama mbalamwezi 

Hata nikilala nakuota mpenzi 

Baby si unajua kukuacha siwezi 

Yani unang’ara kama mbalamwezi 

Kwangu anacheza mwenyewe 

Sitaki hata nimchezee 

Wenzenu tumepanda basi 

Tuko road tunaenda uzee 

Hata kama wachawi ni wengi 

Siwezi kumficha yeye sio bangi 

Anavyonishika mwenzenu mi 

Napiga mabao kama vile Harland 

Yeye nakumbuka aliniambia 

Anapenda uvuvi kupiga makasia 

Istoshe baba yake baharia 

Ndo maana akija gheto huwaga ananivulia 

Mama mapenzi siti ya daladala 

Kashuka ex umepanda wewe 

Hata nikiwa na njaa usinipe chakula 

Mama nataka nikule wewe 

Niseme kweli sijielewi 

Raha za hii sayari 

Ndo zimenichanganya mi 

Haya mapenzi ibaki kheri 

Kukuachia siwezi nishakuweka moyoni 

Unang’ara kama mbalamwezi 

Hata nikilala nakuota mpenzi 

Baby si unajua kukuacha siwezi 

Yani unang’ara kama mbalamwezi 

Unang’ara kama mbalamwezi 

Hata nikilala nakuota mpenzi 

Baby si unajua kukuacha siwezi 

Yani unang’ara kama mbalamwezi 

Related

ADVERTISEMENT