SHARE

Read 'Mahaba' Lyrics By Ali Kiba

SHARE

Read Mahaba Lyrics By Ali Kiba. The song is Ali Kiba's first release in 2023 and is expected to make waves in East Africa.

READ ALSO: Asali Lyrics By Ali Kiba | READ

Mahaba Lyrics

VERSE 1

Sikuhizi hakuna mahaba yeh! Mahaba

Mapenzi ya mkataba mpaka kufa yamekwisha

Ni neema ukiwa uhema mapenzi yanachosha yanafuja raha

Nafsi yangu inasema bora nimpende tu alonizaa

Uchungu wakulia daily

Mapenzi yalinifanya nisile

Sina kumbukumbu ile kwamba ulinikosha noo!

Uchungu wa kulia daily

Mapenzi yalinifanya nisile

Sina kumbukumbu hile kwamba ulinitosha noo!

Mwenzako mi nilikufa nikazikwa nikaoza

Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka yeh!

Mi nilikufa nikazikwa nikaoza

Mapenzi yalinitesa nimefufuka yeeh

VERSE 2

Sikiliza kwanza we mdada we mdada

Mi sio mgeni yalishanikaba mapenzi yalinikausha

Natamani kuwa single ila nna upwili unakaba kooh

Mabinti wenye vifundo hao ndo mi wananitoa roho

Na siri tu ya jambo lile ni kama chakula lazima nile

Mi mbovu sana wa jambo lile na ufundi wa kutosha ooh

Na siri yake tu jambo lile ni kama chakula lazima nile

Mi mbovu sana wa jambo lile na ufundi wa kutosha ooh!

Mwenzako mi nilikufa nikazikwa nikaoza

Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka yeh!

Mi nilikufa nikazikwa nikaoza

Mapenzi yalinitesa nimefufuka yeeh

Mahaba -Ali Kiba

Read the Other Latest East African Song Lyrics HereGet Fresh updates as they drop via Twitter and Facebook

Related

ADVERTISEMENT