SHARE

Nawaza Lyrics By Diamond Platnumz

SHARE

Nawaza is track number 8 on Diamond Platnumz's recent EP named First Of All and here are the lyrics of Nawaza :

Nawaza Lyrics

READ ALSO: Enjoy Mtasubiri Lyrics By Diamond Platnumz featuring Zuchu

Read aloud, Sing And Enjoy Nawaza Lyrics By Diamond Platnumz Below ;

INTRO

Nawaa...naaawaaa...naawaaa...nawaza tu
Nawaa...naaawaaa...naawaaa...nawaza tu

VERSE 1

Nawaza pru mpaka maka Ruge amerudi tena
Je kwa huu mziki wa sasa sijui nini angesema!?
Na nimejifunza binadamu kweli hawana jema
Yani mtoto unaemtunza ndo anakuombea ukilema
Nashangaa

Nawaza Vanny na Elizabeth clip zao zikivuja
Ndoa itaimarika eti au ndo ataifoja?!
Nawaza muchana,usiku jibu halifiki
Wanaonitukana, tuna bifu au ilimradi kiki?!
Nawaza kina Kimambi bwana wangekua wagawa ridhiki
Hivi kweli ningejulikana si wangenizima nsisike
Nlowaza leo nshawaza sana kina Kiba ugomvi kipi?!
Nikagundua ni ushamba na ujana wa kugombania mashabiki

CHORUS

Nawaa...naaawaaa...naawaaa...nawaza tu
Nawaa...naaawaaa...naawaaa...nawaza tu
Oooh nawaza

VERSE 2

Huenda Steven Kanumba angelikuwepo hai
Nawaza movie zetu pia tungejidai
Nawaazaa hivi kombe la dunia hatufikagi why?!
Nawaza,tatizo ni team au uongozi haufai
Mawazo mengine mtanange bora tuache yataleta ukakasi
Je angekuepo Muzee Nyange,Uncle Shamte angepata nafasi?!
Nawaza ka ngekua na Wema Sepetu hadi leo sijui ngekua nshafulia au zaidi maendeleo

Ooh nawaza siku nikifa sijui wasafi itakufa Nawaza sijui maradhi ama ajali itanikuta Nawaza oh Mama Dangote nani chozi atamfuta

Nawaza sijui nyimbo zangu watazikumbuka

Eeeh Nlowaza leo nshawaza sana nnachoshindwa kuoa kipi Nikagundua naepusha lawama maana najijua kwa kucheat

CHORUS Nawaa...naaawaaa...naawaaa...nawaza tu
Nawaa...naaawaaa...naawaaa...nawaza tu

You Can Also Enjoy Nawaza Lyrics Video Here :

Related

ADVERTISEMENT