SHARE

Read Mungu Tu Lyrics By Kusah

SHARE

Read Mungu Tu Lyrics By Kusah. The song has been well received by fans in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Read Wenyewe Lyrics By Kusah Featuring Maua Sama

Read Mungu Tu Lyrics By Kusah Below:

Kusah tena 

Ooooooh 

Binadamu siwawezi bora nibaki na mwenyezi 

Kuna jua kuna mwezi nakupangua hatuwezi 

Asante Baba kwa mkate na kikombe 

Kilicho baki acha mimi nikuombe 

Binadamu umetuumba na unyonge 

Nikikosea Mungu naomba unione 

Nasiogopi mtu namuogopa Mungu tu 

Nasijali lolote namuogopa Mungu tu 

Nasiogopi kitu namuogopa Mungu tu

Nasijali lolote namuogopa Mungu tu 

Hizi shida zangu zinanitosha 

Sitaki matatizo sitaki matatizo

Hizi shida zangu zinanitosha 

Sitaki matatizo sitaki matatizo  

Ulishapiga mastory  niko howi 

Sitoboi tena 

Wakaapa sitoboi sitoboi 

Sitoboi tena 

Siwalisema yatopita leo Mungu kawanyamazisha 

Wakapanga mpaka vita katikati yao nikapita 

Nasiogopi mtu namuogopa Mungu tu

Nasijali lolote namuogopa Mungu tu 

Nasiogopi kitu namuogopa Mungu tu 

Nasijali lolote namuogopa Mungu tu 

Hizi shida zangu zinanitosha 

Sitaki matatizo sitaki matatizo 

Hizi shida zangu zangu zinanitosha 

Sitaki matatizo sitaki matatizo 

Hizi shida zangu zinanitosha 

Sitaki matatizo sitaki matatizo

Related

ADVERTISEMENT