SHARE

Read Mshua Lyrics By Nay Mitego Ft Linah

SHARE

Read Mshua Lyrics By Nay Mitego Ft Linah. This marks another time that Nay Wa Mitego has thrilled fans with a rap song.

READ ALSO: Read Nakuja Lyrics By Nay Wa Mitego Featuring Phina

Read Mshua Lyrics By Nay Mitego Ft Linah Below:

Eeeh baba (baba baba) 

Baba aaah aaah 

Chiby 

Kwenye familia wewe ndio kichwa 

Na tuliona ulivyopambana 

Lakini mimi na wadogo zangu bado 

Tulisema nani kama mama 

Kuna kipindi home ulilala saa tisa 

Halafu unaamka asubuhi sana 

Na bado vitu usipokamilisha hata viwe 

Vidogo tunakupa lawama 

tulizaliwa hakuna TV hakuna feni 

Ama AC

Kwa jirani ndio kuna TV ukisema tuvumilie 

Hatuingia ulikuwa na uwezo wa kukimbia 

Ukatuacha Aaaaah 

Ulikomaa nasi japo maisha yalikuchapa 

Aaaah 

Baba umenifundisha mtoto wa kiume 

Hakimbii majukumu 

Haukututelekeza japo maisha 

Yalikuwa magumu 

You are the best dad i swear 

Kila goti nalopiga nakuombea 

Asante Baba umenifunza mengi 

Mpaka nimekua umeupiga mwingi 

Najivunia kuwa na bonge la dingi 

Oooooh 

Ni kweli hakuna kama mama 

Lakini ulipambana ukabeba jukumu 

La huyu mwamba 

Utajua hakuna kama baba 

Anaitwa Baba (baba ba) 

Anaitwa Baba (baba ba) 

Anaitwa Baba (baba ba) 

Anaitwa Baba (baba ba) 

Kila zawadi nnayowaza kukupa haitoshi 

Magari na manyumba havitoshi 

Kwenye giza ulinimulika tochi 

You are the best Dady 

God Bless 

Ili nisiwe mjinga ulinipeleka shule 

(Ulinipeleka shule) 

Ukalima ukabeba zege ili wanao tule 

Ilipofika sikukuu ulihakikisha 

Familia inapendeza mama anapendeza 

Mimi napendeza 

Kisha tunakunywa na kucheza 

Siwezi lipa ulichowekeza 

Asante Baba umenifunza mengi 

Mpaka nimekua umeupiga mwingi 

Najivunia kuwa na bonge la dingi 

Oooooh 

Baba umenifundisha mtoto wa kiume 

Hakimbii majukumu 

Haukututelekeza japo maisha 

Yalikuwa magumu 

You are the best dad i swear 

Kila goti nalopiga nakuombea 

Asante Baba umenifunza mengi 

Mpaka nimekua umeupiga mwingi 

Najivunia kuwa na bonge la dingi 

Oooooh 

Ni kweli hakuna kama mama 

Lakini ulipambana ukabeba jukumu 

La huyu mwamba 

Utajua hakuna kama baba 

Anaitwa Baba (baba ba) 

Anaitwa Baba (baba ba) 

Anaitwa Baba (baba ba) 

Anaitwa Baba (baba ba) 

Related

ADVERTISEMENT