SHARE

Read 'Mshindi' Lyrics by Appy

SHARE

Read and sing aloud Mshindi Lyrics by Appy. The song has been well-received by fans in Tanzania and beyond.

READ ALSO: Read Watu Feki Lyrics By Appy

Read 'Mshindi' Lyrics by Appy below:

Ya kwetu mvua La kwetu jua 

Na tukaamini tutatusua 

Kwetu sio wa kishua 

Shida twazijua 

Maana maisha yetu 

Ya kuungaunga 

Mlo mmoja mchana usiku 

Shida ndo zimetulea 

Oooh tukajikongoja 

Mchana usiku 

Tukaishi kwa mazoea 

Maisha yanavuruga 

Shida za kila muda 

Mpaka marafiki wakageuka Yuda

Tumelelewa na mitaaa 

Tuna ndugu na shida zimetufanya 

Tuwe masugu tushatembea sana 

Kwa miguu sasa ni zamu yetu 

Kuwa juu 

Waona nini ukiniona 

Watizama mshindi ukiniona 

Waona nini ukiniona 

Watizama mshindi ukiniona 

Waona nini ukiniona 

Watizama mshindi ukiniona 

Tushazika wazazi dunia 

Ikawa ndo mlezi 

Tukateswa na maisha 

Yani hakuna mtetezi 

Kwetu sukuma wiki 

Ni sukuma mwezi 

Na mapambano ya dhiki 

Tukamuachia mwenyezi 

From zero to hero 

Nobody to somebody 

No mummy no daddy 

But am struggling 

Maisha yanavuruga 

Shida za kila muda 

Mpaka marafiki wakageuka Yuda

Tumelelewa na mitaaa 

Tuna ndugu na shida zimetufanya 

Tuwe masugu tushatembea sana 

Kwa miguu sasa ni zamu yetu 

Kuwa juu 

Waona nini ukiniona 

Watizama mshindi ukiniona 

Waona nini ukiniona 

Watizama mshindi ukiniona 

Waona nini ukiniona 

Watizama mshindi ukiniona 

Related

ADVERTISEMENT