SHARE

Read Mi Nachekaga Tu Lyrics By Kontawa

SHARE

Read Mi Nachekaga Tu Lyrics By Kontawa. The song has been well-received in Tanzania and East Africa, and beyond.

READ ALSO: Read Mbalamwezi Lyrics By Kontawa Ft Jay Melody

Read Mi Nachekaga Tu Lyrics By Kontawa Below:

Mchumishe demu tembele 

Kama unataka mbogamboga 

Ukivaa boxer jua 

Umevaa bodaboda 

Mnaonipima nguvu 

Mnisikilize mara moja 

Nna nguvu kiasi kwamba naweza 

Nikampa mimba shoga 

Mama rudia ana watoto wawili 

Wa kwanza anaitwa Tena 

Wa pili ataitwa nani

Aaaah Aaaaah rudia

Waislamu hawapendi pombe na 

Hawataki kuisikia 

Ila unaweza kuta mke wa Ustadhi 

Ana mguu wa bia 

Na kwenye group la Adamu 

Huwezi ukakuta admini 

Utapita chaka zote hakuna 

Rapa kama mimi 

Na wanachonishangaza hawa marapa 

Wa mjini 

Wanaimba nyimbo ngumu 

Alafu kwenye simu wanaweka laini 

Kwa muda mrefu najiuliza 

Ila jibu sipati 

Kati ya Messi na Ronaldo yupo 

Anapiga sana pasi 

Nahisi ndoto nyingine sijui 

Zinatokea wapi 

Nimeona Yesu anarudi ila 

Amepanda basi

Wabongo wanapenda uongo ndo 

Maana hatuongei kweli 

Unaweza kuta mzee magari 

Hajawahi milili hata baiskeli 

Home nna mabuti mengi 

Mi si napenda vikali 

We ukivaa buti la Jeje 

Navaa buti la gari 

Kama hunitaki sikutaki yaani 

Sitaki watu feki 

Naounguza resi kama kudunda nadunda 

Kama kitenesi 

Huwaga napiga badi wanaojifanya 

Wamepinda 

Nimegundua sketi nyingi hapa mjini 

Hazina marinda 

Shemeji usintenge mi uzalendo 

Utanshinda 

Maana mi ndo yule mtoto 

Amezaliwa amedinda 

Hawa jamaa wananiogopa utasema 

Nimevaa mabomu 

Wanaimba saresare sa si wavae unifomu 

Watu wanaogopa maradhi hiyo ndo 

Bongo Dot Com 

Yaani mpaka hodi wanagonga na 

Kondomu 

Hey lord niko mbele yako napiga goti 

Sipigi bebe sipigi picha 

Sipigi makofi 

Am hot sema nahitaji sana makofi 

Maana juzi kuna mwanga mtaani 

Kaniomba tochi 

Binadu si mmea ila akilala anaota 

Huo ndo ukweli na siwezi kuongopa 

Akitoa mchanaji ambaye atachana 

Hadi nkaogopa 

Ntatembea uchi kuanzia Ilala 

Mpaka Posta 

Related

ADVERTISEMENT