SHARE

Diamond Lyrics by Jay Melody

SHARE

Read and sing aloud Diamond Lyrics by Tanzanian singer, Jay Melody. The song is well received by fans in Tanzania and beyond

READ ALSO: Wa Peke Yangu Lyrics by Jay Melody

Read Diamond Lyrics by Jay Melody below:

Mmmmh kuidhulumu nafsi sitaki 

Penzi la ukakasi sitaki 

Mi najua mna upendo wa dhati 

Sa kwanini niingie kati 

Mioyo yenu ipeni nafasi 

Muinywe kwa uhuru sharubati 

Penzi lisiwela Hisabati 

Mpaka muushangaze umati yooo

Apendapo maulana basi na mimi 

Nipate wa kushibana 

Alafu nyinyi cheki mnavyopendana 

Si kwa matendo kwa ishara tunaona 

Aaah penzi letu liwe kisima cha upendo 

Ololoo maaah liwe 

La shine like a Diamond 

Wanga wakae mbali 

Liwe kisima cha upendo 

Ololoo maaah liwe 

La shine like a Diamond

Aaaah Ooooh Aaaaah 

Mapenzj sio ya kulazimishana

Wanaopendana kuwaaachanisha ni laana

Angalia macho yao mazuri yanavyofanana

Na watu wasiopendana utawapata wakishindana

Yapo kama maua kuna muda yatachanua 

Mtashindwa kutambua wapi linapiga jua 

Mapenzi kitumbua mchanga msije tia 

Waacheni wamekua sisii tuombe dua 

Aaaaah 

Apendapo maulana basi na mimi 

Nipate wa kushibana 

Alafu nyinyi cheki mnavyopendana 

Si kwa matendo kwa ishara tunaona

Aaah penzi letu liwe kisima cha upendo 

Ololoo maaah liwe 

La shine like a Diamond 

Wanga wakae mbali 

Liwe kisima cha upendo 

Ololoo maaah liwe 

La shine like a Diamond

Related

ADVERTISEMENT