SHARE

Read Mbali Nawe Lyrics By Jay Melody

SHARE

Read Mbali Nawe Lyrics By Jay Melody. The song marks another time that Jay Melody has scored a hit song in Tanzania.

READ ALSO: Read Nitasema Lyrics By Jay Melody

Read Mbali Nawe Lyrics By Jay Melody Below:

Once Again 

Masikini mimi 

Mwenzako mimi 

Naumia Sana 

Japo nishajua mimi 

Kuwa sawa na wewe 

Haitawezekana 

Hata nikishuka chini 

Ndo Unaniona 

Mi Mjinga Sana 

Eti umepatwa nini 

Mbona hapo mwanzo 

Ulitulia Aaaaaah 

Na wala sio mbali 

Sio mbali tulikuwa karibu na malengo

Na leo kiutani kama utani 

Umeshindwa kuumaliza mwendo 

Na tena haujali haujali 

Ukiondoka utaacha pengo 

Hakuna cha habari

Nikae mbali 

Huku kuachwa bila maelezo 

Mbali nawe mbali nawe 

Mbali nawe mbali nawe 

Mbali nawe mbali nawe 

Mbali nawe mbali nawe 

Au kuwa na mie hautamani 

Basi niambie kosa gani 

Basi niambie jinsi gani 

Utakuwa sawa baby 

Mmmmh nikueleze jinsi gani 

Vile nimekuweka moyoni

Hata unipime kwa mizani 

Nitajaa kwako honey 

Mi naumwa siko sawa 

Lako penzi ndo yangu dawa

Mi naumwa siko sawa 

Lako penzi ndo yangu dawa

Na wala sio mbali 

Sio mbali tulikuwa karibu na malengo

Na leo kiutani kama utani 

Umeshindwa kuumaliza mwendo 

Na tena haujali haujali 

Ukiondoka utaacha pengo 

Hakuna cha habari

Nikae mbali 

Huku kuachwa bila maelezo 

Mbali nawe mbali nawe 

Mbali nawe mbali nawe 

Mbali nawe mbali nawe 

Mbali nawe mbali nawe 

Related

ADVERTISEMENT