SHARE

Read Mauzauza Lyrics By Baddest 47

SHARE

Read Mauzauza Lyrics By Baddest 47. The song has been well-received by fans in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Read Zagamua Lyrics By Baddest 47 Featuring Mabantu

Read Mauzauza Lyrics By Baddest 47 Below:

Mauzauzaaa naona kama 

Mauzauza 

Walisema nisichomee 

Nimechoma nimenasa 

Anasaaaa 

Unalala na hujasoma 

Hutaki tuchome kumbe wanakuchoma (Anasaa)

Dhambi zako za Sodoma Gomola 

Michezo yako ya mbuzi kagoma (Anasa) 

Yani hapo ndo unafeli 

Unanunua mapenzi love not for sale (Anasa) 

Ogopa matapeli 

Hatuchinji kuku mpaka aumwe kideli (Anasa) 

Kupenda penda si tulikukataza 

Kama umeachika kula nyama nyamaza 

Ukizidisha kumtangaza 

Kuna siku tutakukuta angaza 

Mauzauzaaa naona kama 

Mauzauza 

Walisema nisichomee 

Nimechoma nimenasa 

Anasaaaa 

Mauzauzaaa naona kama 

Mauzauza 

Walisema nisichomee 

Nimechoma nimenasa 

Anasaaaa 

Kitambo mi nakutonya 

Kutumia pesa na mtu nyuma hajashona (Anasa) 

Kilometa zishasoma 

Kutubania kisauti kama wakusoma (Anasa) 

Sheet bora kushikwa ugoni 

Ila kutumia pesa na kulala alone (Anasa) 

Hata picha huoni 

Kuna ka kitu anaficha na filter huoni (Anasa) 

Mtakuja kutuua na presha 

Mfundishe kuvaa demu wako anachekesha 

Kuna vitu vya kuniendesha 

Kama sio vijiti basi ujue ni pesa 

Mauzauzaaa naona kama 

Mauzauza 

Walisema nisichomee 

Nimechoma nimenasa 

Anasaaaa 

Mauzauzaaa naona kama 

Mauzauza 

Walisema nisichomee 

Nimechoma nimenasa 

Anasaaaa 

Nimechoma nimenasa 

Nimechoma nimenasa 

Anasa

Related

ADVERTISEMENT