SHARE

[LYRICS] Sipangwingwi Lyrics by Exray ft. Trio Mio, Ssaru

SHARE

Read the official lyrics to "Sipangwingwi" by top Kenyan Gengetone rapper, Exray, young recording Hip Hop artist who is definitely on his way to becoming the best, Trio Mio and Kenyan Badgirl, Ssaru. This banger is undoubtedly one of the heavy hitters of 2021.

READ ALSO: [LYRICS] Waah Lyrics By Diamond Platnumz, Koffi Olomide

Exray ft. Trio Mio, Ssaru - Sipangwingwi
Exray ft. Trio Mio, Ssaru - Sipangwingwi

"Sipangwingwi"

(feat. Trio Mio, Ssaru)

Maisha ni yangu, we shughulika na yako
Napenda za kwangu, we shughulika na kwako
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi

Unataka mtu simple humble, rich young
Ndo upeane namba
Unataka mtu mdark, mlight mtall
Beb tafuta wababaz

Unaplan future yetu kumbe uko alone
Maisha ni safari mi na ride along
Labda mi niomoke nikuitage form
Ama labda we uomoke nikujage home

Mi nayo pombe siwezi onja
Aiii nakunywa yote
Na akiamua kukupatia
Aiii chukua yote

Maisha ni yangu, we shughulika na yako
Napenda za kwangu, we shughulika na kwako
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi

[Trio Mio]
Mi sipangwingwi, kijana ni gwiji
Utapangaje morio ana kashilingi kwa wingi
Mafeelings za nini mi ni jangili kamili
Nasuka mamdenge za matajiri wa mjini

Samahan..
Chai fupi nmejaza maziwa na majan
Sikusuki mi ni Trio Mio watagwan
Ka hunijui unajifanya bombo haja gan
Abiria nawapanga ka makanga wa Kasaran

Ama vijiti za viberiti ndani ya boxdem
Wanga stishiki naget mabinti nawachokdem
Washa ngwariti tuskie fiti adi shokdem
Cheza na mangoksdem

Maisha ni yangu, we shughulika na yako
Napenda za kwangu, we shughulika na kwako
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi

[Ssaru]
Ah mi sitambui mbui, mi mchana buibui
Nikiwa mababi mahali leta maruirui
Na niko na mashoga kibao nataka madui dui
Sitaki kifisi niko bongo nasaka chui chui

Ukitaka mizuka, mimi ndo hooker
Tena nagwara nikidara nina vikucha
Hiki kichupa shika na kupa
Na wanapenda ukipapia baba pupa

Naishi nitakavyo ondoa vikwazo
Ukiona najidai jua kujikopa ndo chanzo
Nikishika ngiri natesa na majigambo
Ju naona siku hizi ganji mnasafisha kwa mitambo

Maisha ni yangu, we shughulika na yako
Napenda za kwangu, we shughulika na kwako
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi

Get The Latest Updates As They Drop Via Twitter@Instagram And Facebook

Related

ADVERTISEMENT