SHARE

Read Geri Inengi Lyrics By Wakadinali Ft SirBwoy

SHARE

Read Geri Inengi Lyrics By Wakadinali Ft SirBwoy. The song marks another time Wakadinali have scored a hit song.

READ ALSO: Read McMca Lyrics By Wakadinali

Geri Inengi Lrics

Cheki fala amekam na amezubaa

Na anacheki ati Subaru ya mambaru

Imekam na imejaa

Subaru ya mambaru imekam na imejaa

Subaru ya mambaru imekam na imejaa

Cheki fala amekam na amezubaa

Na anacheki ati Subaru ya mambaru

Imekam na imejaa

Subaru ya mambaru imekam na imejaa

Subaru ya mambaru imekam na imejaa

Alikam na kinini? kiturutututu!

Kam na kinini? Kibuguduguboom

Kam na kinini? Ki Sh! Sh!

Ki Hmm Hmm! Ki Ha! Ha!

Alikam na kinini? kiturutututu!

Kam na kinini? Kibugudugudu!

Kam na kinini? Ki Sh! Sh!

Ki Hmm Hmm! Ki Ha! Ha!

Na imejaa! 

Kibugudugudu! my guy hii si toy

Ziwa Hurush na mi najienjoy

Tuliwabumbrush H-Kiamaiko

Buruklyn na mi si boyz

Sina jongo sina form sina cheda

Bila mbesha still machaji walichuna

Ngeus una matress kwako sema form

Munga mjinga niko zone

Past curfew magiza niko biz

Smady Tings alikujia magiz giz

I’m sorry ilidim, am sorry nimediiim

I’m sorry ilidim, am sorry imedim

Am sorry ah! ah! aiii!

Subaru inakam na mambaru wamekrome

Zaidi ya mzinga na zile vitu wrong

Munga, Sirbwoy hepa chuom na imepong

Digitali jaba kali shikisha na Dosh

Maisha posh na maombre wa pale Canaan Koch

Taxin na magego za ogoro

Zinawaka shinda torch za magwoch

Idhaa ni mbaya lola mbota, lola watch

Yeah, yeah

Kwa hii darasa mi ndio teacher, mi ndio coach

Zimewaka, zimeliet, zimemuoch

Mbara ya gatheshe, hatuna kasheshe

Maybe tukuthiokore na tukufanyange patient

Boom boom, yeah yeah yeah yeah yeah

Boom!

Cheki fala amekam na amezubaa

Na anacheki ati Subaru ya mambaru

Imekam na imejaa

Subaru ya mambaru imekam na imejaa

Subaru ya mambaru imekam na imejaa

Cheki fala amekam na amezubaa

Na anacheki ati Subaru ya mambaru

Imekam na imejaa

Subaru ya mambaru imekam na imejaa

Subaru ya mambaru imekam na imejaa

Alikam na kinini? kiturutututu!

Kam na kinini? Kibugudugudu!

Kam na kinini? Ki Sh! Sh!

Ki Hmm Hmm! Ki Ha! Ha!

Alikam na kinini? kiturutututu!

Kam na kinini? Kibugudugudu!

Kam na kinini? Ki Sh! Sh!

Ki Hmm Hmm! Ki Ha! Ha!

Na imejaa

Geri Inengi - Wakadinali

Read the Other Latest East African Music Lyrics Here

Get Fresh updates as they drop via Twitter and Facebook

Related

ADVERTISEMENT