SHARE

Read 'Freestyle Session 6' Lyrics By Msodoki Young Killer

SHARE

Read 'Freestyle Session 6' Lyrics By Msodoki Young Killer. The song has been well-received by fans since its release.

READ ALSO: Read 'Freestyle Session 5' Lyrics By Young Lunya

Read 'Freestyle Session 6' Lyrics By Msodoki Young Killer Below:

Unajua ili unipoteze inabidi

Uwe umepotea eeeeh 

Msodokiiii 

Ma-snitch ka wewe nang’oa pua 

Hapa labda zikuokoe dua 

Country kakupika kabla hujaiva kakupakua 

Mie wa kitaa muulize babuu anajua 

Kama mimi hauwezi kuwa 

Kwanza I’m the best show killer 

Waulize wanaokupa tour 

Fiesta Wasafi muuni nishakisanua 

Kwanza hatujawahi muona 

Demu wako dogo acha kujichua 

Mbele ya kamanda alafu unanyea kambi 

Na nshamega bebe zako hata kabla hazidangi 

Nikitamba pande zako pande zetu hazitambi 

Nakubalika na wote hadi anaokuuzia bars 

Siri ya Killer kwanza weka Young kisha Killer 

Killer ni muuaji ila sina maana hiyo ya killer 

Killer killer kuleta picha ya taswira 

Bila killer sijutii sichukii kutwa Young Killer 

Weka sura nikuvuruge acha goli nikufunge 

Nimetake over hii kitu tangu yupo Bosi Ruge 

Tangu viwanja vya posta vinauzwa Lucky Dube 

Enzi za Bongo Movie na utapeli wa dude 

Ukiongelea hip hop mwanza na kaskazini 

Ukiongelea mwamba ni King Joh Makini 

Ukiongelea mkwanja sijui utanifikia lini 

Na uko level ya kuamka alafu hujui utakula nini 

Stupid fighter kwa screen wall paper 

Kwanza umepata zero NECTA 

Skia upate lecture 

Sio unatoa nyimbo kelele kama za Generator 

Nikikuzoom on my radar me hata skuoni 

Zaidi ya complain open your brain 

Uwezo wako mdogo rudi shule wakakutrain 

Usupastaa dogo sio tu kunnua cheni 

Kudai haki bila kufata sheria ni kufanya fujo 

Na so mistari mi napiga mpaka judo 

Na naleta impact kuliko hata Akudo 

Utatoa mimba yangu dogo acha 

Kutunisha tumbo 

Zingua tena nikutie utumbo 

Unatoa mbwa bandani kwa kufuata mkumbo 

Mi nimejengwa na tungo maujanja ni rundo 

Nakupa mistari mingine kaipokee Ubungo 

Pumbavu in Vicent Kigosi’s voice 

Msodoki in the house 

Mathafanta kwa wewe

Na wanaokusaidia kushare 

Related

ADVERTISEMENT