SHARE

Cancer Lyrics by Billnass

SHARE

Read and enjoy Cancer Lyrics by Billnass. The song has been well received by fans in Tanzania and East Africa

READ ALSO: Beer Nyama Lyrics by Lava Lava Ft Billnass

Read Cancer Lyrics by Billnass below:

Nenga mtu mbad nishai sivai tena

Toka nimetoa tatizo wananiita the problema

Mtoto mzuri kama Nandy 

Unamwachaje dilema 

Niko studio na mapishi mpeni maudhui wema 

Mtajua hamjui mtakua hamkui 

Round hii nakichafua na ile dafu hamfui 

Mkifunika hamfunui washamba hamsumbui 

Yaani mnunuliwe pombe 

Mpewe na supu asubuhi 

The path that I've been through 

The deals that I'm used to 

Dada zako wananilila 

Mafioso Inc 

Level hizi utazisikia tu 

Watoto wana-pretend tu 

Big thugs za ma-gang 

Bata bata pesa zenyewe za Vunjabei 

Mtagonga mwamba mkidhani kufeli kuna way 

Sijui mlitoka vipi naona ghafla bin vu

Mkaanza kushika chart nikaona 

Ghafla bin you 

Mmmeshindwa kulia mikono je mtaweza miguu 

Maana mmefulia faster yani 

Yani ghafla bin vuu

Safari kemkem yani better than you 

Kizazi kipya cha rap 

Naleta flows za brand new 

Nimechafukwa na damu utadhani

Devil wa Man U 

I aint bothered about the thing Kaka 

Nikiwa Kenya nabonga Sungura na King Kaka 

Nyeusi ti wakanda black panther   

Kupona itakuwa ngumu maan hii ni kansa 

Related

ADVERTISEMENT