SHARE

Bora Kushukuru Lyrics by Obby Alpha

SHARE

Obby Alpha Lyrics

Read and sing aloud Bora Kushukuru Lyrics by Obby Alpha. The song has been well received by fans in Tanzania and beyond.

Image of Gospel singer from Tanzania, Bora Kushukuru

Bora Kushukuru Lyrics by Obby Alpha

Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo,

Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo,

Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata,

Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa.

Tabasamu njoo,Nataka nibadiri

Wangu mtazamo niishi kitajiri

Na wewe maumivu njoo,Nataka nibadiri

Wangu msimamo niishi kijasiri,

Ile habari ya kulialia Kila siku nakataa (Nakataaa).

Na kama nilisainiwa mkataba nafuta aah,

Ndugu tulowasaidia wakaficha makucha (Makucha).

Wao walipofanikiwa wakataka kutushusha aah!!!

Nafuta zile why me!! Why me!!

Sijapata kwanini ? Kwanini ?

Najawa ujasiri ujasiri

Nitapata na mimi na mimi

Nafuta zile why mimi Why mimi !!

Sijapata kwanini ? Kwanini ?

Najawa ujasiri ujasiri

Nitapata na mimi na mimi

Chorus

Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo,

Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo,

Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata,

Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa.

Verse 2

Na nilipo huenda Kuna wengine wanapatamani,

Zamani huko nilishakataliwa na watu wa nyumbani,

Kile kidogo ninacholalamika lakini nimepata,

Wengine huko wamepambana wamekosa kabisa.

Kumbe ni Bora kuridhika na hiki,

Nilichopata ndio yangu ridhiki,

Mungu ni Bora yeye hatabiriki,

Amekupa hicho mi amenipa hikii.

Bridge

Nafuta zile why me!! Why me!!

Sijapata kwanini ? Kwanini ?

Najawa ujasiri ujasiri

Nitapata na mimi na mimi

Nafuta zile why mimi Why mimi !!

Sijapata kwanini ? Kwanini ?

Najawa ujasiri ujasiri

Nitapata na mimi na mimi

Chorus

Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo,

Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo,

Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata,

Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa.

Read Other Latest Song Lyrics Here

Get Fresh updates as they drop via Twitter and Facebook

Related

ADVERTISEMENT