SHARE

Read Amen Lyrics By Mathias Walichupa

SHARE

Read And Sing Aloud Amen Lyrics By Mathias Walichupa. The Gospel anthem has been well received in Tanzania.

READ ALSO: Read Majina Yote Mazuri Lyrics By Dedo Dieumerci Ft Naomi Mugiraneza

Read Amen Lyrics By Mathias Walichupa Below:

Ninayo sababu ya kusimama 

Mbele za watu 

Kwa ujasiri mmmh 

Niziseme shuhuda zako bwana wangu 

Jinsi we ulivyonisitiri 

Na kama ungeniacha 

Mi nisingeweza 

Ningeliangamia angamia 

Kwa neema yako 

Nimeweza maana umenisimamia 

Simamia 

Najitabiria mabaya yote 

Hayana nafasi 

Kwa jina la Yesu ninakiri 

Kupokea ushindi 

Umo uwezo kinywani mwangu 

Amen 

Nikitamka (Amen) inatimia (Amen) 

Sawasawa na kusudi lako 

Hata kama sioni dalili (Amen) 

Nina imani nawe (Amen) 

Utafanya Yesu (Amen) 

Ooouuuuuh 

Ooooh 

Kama ni mali fedha na dhahabu 

Mimi nitavipata tu 

Ambavyo wazazi hawakuvipata 

Nitavipata tu 

Kuongezeka imani 

Niyashinde majaribu 

Nitafanikiwa 

Kuishi utakatifu niione Mbingu 

Nitafanikiwa 

Najua hali ngumu 

Zina kikomo 

Si za kudumu ila 

Neno la Mungu 

Na mipango yake 

Inadumu milele 

Najitabiria mabaya yote 

Hayana nafasi 

Kwa jina la Yesu ninakiri 

Kupikea ushindi 

Umo uwezo kinywani mwangu 

Amen 

Nikitamka (Amen) inatimia (Amen) 

Sawasawa na kusudi lako 

Hata kama sioni dalili (Amen) 

Nina imani nawe (Amen) 

Utafanya Yesu (Amen) 

Ooouuuuuh 

Hata kama sioni dalili (Amen) 

Nina imani nawe (Amen) 

Utafanya Yesu (Amen) 

Ooouuuuuh 

Related

ADVERTISEMENT