SHARE

Read Amefanya Mungu Lyrics By Paul Clement

SHARE

Read And Sing Aloud Amefanya Mungu Lyrics By Paul Clement. The song has been well-received by fans in Tanzania.

READ ALSO: Read Majina Yote Mazuri Lyrics By Dedo Dieumerci Ft Naomi Mugiraneza

Read Amefanya Mungu Lyrics By Paul Clement Below:

Je ni nani angeweza 

Kututoa chini mavumbini 

Maana kila mtu alitukataaa 

Ila Mungu akatukumbatia 

Je ni nani angeweza kutuinua 

Kutuweka juu

Maana kila mtu alitukataaa 

Ila Mungu akatuinua 

Je ni nani angeweza kutupatia nafasi 

 Maana kila mtu alitukataaa 

Ila Mungu akatupatia 

Hakuangalia elimu zetu 

Hakuangalia mionekano yetu 

Aliangalia mioyo yetu kwake 

Tukapata kibali 

Amefanya Mungu amefanya 

Amefanya Mungu amefanya 

Haikuwa rahisi kwa akili zetu 

Amefanya Mungu amefanya 

Amefanya Mungu amefanya 

Amefanya Mungu amefanya 

Haikuwa rahisi kwa akili zetu 

Amefanya Mungu amefanya 

Je ni nani angeweza kutukubali 

Jinsi tulivyo 

Maana kila mtu alitukataaa 

Ila Mungu akatukubali 

Si elimu zetu uuuuh uuuuh 

Si ujuzi wetu uuuuh uuuh 

Ila neema yake imetuweka hapa 

Haikuwa rahisi 

Vile namna neema yako inafanya 

Hakuna elimu inaweza fanya

Hata kama ikishindana 

Hata kama ikipambana 

Neema yako itashinda 

Hakuangalia elimu zetu 

Hakuangalia mionekano yetu 

Aliangalia mioyo yetu kwake 

Tukapata kibali 

Amefanya Mungu amefanya 

Amefanya Mungu amefanya 

Haikuwa rahisi kwa akili zetu 

Amefanya Mungu amefanya 

Amefanya Mungu amefanya 

Amefanya Mungu amefanya 

Haikuwa rahisi kwa akili zetu 

Amefanya Mungu amefanya 

Haikuwa rahisi kwa akili zetu 

Amefanya Mungu amefanya 

Haikuwa rahisi kwa akili zetu 

Amefanya Mungu amefanya 

Related

ADVERTISEMENT