SHARE

Read 'Do Salale' Lyrics By Phina

SHARE

Read and sing aloud Do Salale Lyrics By Phina. The song is well received in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Read Rafiki Lyrics By Phina

Read Do Salale Lyrics By Phina Below:

Doh salaleh nimeachwa 

Doh Doh nimepigwa kibuti 

Mmmh eti kisa jana 

Nimelala na nguo 

Anataka mapenzi 

Kwa mkupuo

Anasema sijui kuhandle 

Nikajifunze chuo 

Mmmh nimeachwa 

Anantesa nampenda japo 

Rangi yake ka jaluo 

Asubuhi mchana usiku mizagamuo 

Mi siwezi nimeachwa 

Natamani nilewe 

Ila sa nikilewa 

Pombe nazo zinashuka chini 

Nami sina wa ubani 

Nitafanya nini 

Yalah weeh 

Doh salaleh nimeachwa 

Doh Doh nimepigwa kibuti 

Doh salaleh nimeachwa 

Doh Doh nimepigwa kibuti 

Hayana urafiki mapenzi 

Oooh mapenzi 

Hayana ushikaji mapenzi 

Oooh mapenzi 

Magodoro yamelowana 

Hayana afadhali mapenzi 

Oooh mapenzi 

Huku owangu sio shwari mapenzi 

Ooooh mapenzi 

Magodoro yamelowana 

Ndani hapalaliki 

Natamani nilewe 

Ila sa nikilewa 

Pombe nazo zinashuka chini 

Nami sina wa ubani 

Nitafanya nini 

Yalah weeh 

Doh salaleh nimeachika mwenzenu 

Nimeachwa Oooh 

Doh Doh Doh nimepigwa kibuti 

Doh salaleh nimeachwa mimi  

Nimeachwa nimeachika mwenzenu 

Doh Doh Doh nimepigwa kibuti 

Doh salaleh 

Related

ADVERTISEMENT