SHARE

Read Rafiki Lyrics By Phina

SHARE

Read aloud and enjoy Rafiki Lyrics By Phina. The song has been well received in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Read Rara Lyrics By Phina Ft Jux

Read Rafiki Lyrics By Phina Below:

We si mwana we mwanahamisi 

Nikiwepo unacheka 

Nikisepa unanidiss 

We si mwana we mwanahamisi 

Nikiwepo unacheka 

Nikisepa unaniiii 

Wana wengine wasee (wasengenyaji) 

Hatuwataki waseeee ( wasengenyaji) 

Wana wengine waseee wasee waseee (wasengenyaji ) 

Hatuwataki waseee seee (wasengenyaji) 

Sina nyota ya mtende kuotea jangwani 

Nina nyota ya kitanda nikipendwa nawekwa ndani 

Sina nyota ya mtende kuotea jangwani 

Nina nyota ya kitanda nikipendwa nawekwa ndani 

Unanidiss mie malaya mie mlevi

Eti nimeachika 

Kodi sijalipa (bado hujasema) 

Mie malaya mie mlevi (bado hujasema) 

Eti nimeachika 

Kodi sijalipa 

Namtafuta rafiki rafiki 

Rafiki yako nani nani nani 

Rafiki yangu shabiki shabiki shabiki 

Basi cheza nae nae nae 

Haya kidege zunguruka 

Ukitaka inama inuka 

Haya kidege zunguruka 

Ukitaka inama inuka 

Haya kidege zunguruka 

Ukitaka inama inuka 

We si mwana we mwanahamisi 

Nikiwepo unacheka 

Nikisepa unanidiss 

We si mwana we mwanahamisi 

Nikiwepo unacheka 

Nikisepa unaniiii 

Wana wengine wasee (wasengenyaji) 

Hatuwataki waseeee ( wasengenyaji) 

Wana wengine waseee wasee waseee (wasengenyaji ) 

Hatuwataki waseee seee (wasengenyaji) 

Doli Doli doli samwela 

Unaringia pipi 

Sifa ya mwanaume hela 

Doli Doli doli samwela 

Unaringia ndevu 

Sifa ya mwanaume hela 

Unanidiss mie malaya mie mlevi

Eti nimeachika 

Kodi sijalipa (bado hujasema) 

Mie malaya mie mlevi (bado hujasema) 

Eti nimeachika 

Kodi sijalipa 

Namtafuta rafiki rafiki 

Rafiki yako nani nani nani 

Rafiki yangu shabiki shabiki shabiki 

Basi cheza nae nae nae 

Haya kidege zunguruka 

Ukitaka inama inuka 

Haya kidege zunguruka 

Ukitaka inama inuka 

Haya kidege zunguruka 

Ukitaka inama inuka 

Related

ADVERTISEMENT