SHARE

Harmonize Signs His First Artist to Konde Music Wordwide

SHARE
Harmonize

Harmonize

Tanzanian music sensation; Harmonize has finally signed his first official artist to his record label Konde Music Worldwide.

The Konde Gang forefront has been working to build his record label months after breaking from Wasafi Classic Brothers.

Ibraah (middle) signed to Konde Music Worldwide

Ibraah (middle) signed to Konde Music Worldwide

Harmonize took to his Instagram to officially welcome Ibraah; Konde Gang's first signee, giving gratitude to his fans for the patience they have had with his record label;

Jioni Ya Leo ...!!! Nafsi Inaniambia Mungu Anaetoa Na Kubariki Vipaji Ndie Mungu Anaegawa Upendo Katika Nyoyo Za Waja Wake Safii Na Nyeupe....!!! Binafsi Natambua Uchanga Wa Kampuni Inayonisimamia Pia Natambua Changamoto Tulizotoka Kupitia Punde..!!! Kifedha Naamini Kinachotufanya Mpaka Tuwe Hapa Leo Ni Dua Zenu Pamoja Na Upendo Ambao Nibaraka Toka Kwa Mungu Kama Unavyotambua Mambo Haya Ya Kusimamia Msanii Ama Wasanii Yanahitaji Uwekezaji Mkubwa Sana...!!! Richa Ya Kujinyima Kujichanga Changa Tunako Endelea Nako Lakini Haijawa Sababu Ya Kuruhusu Vipaji Ama Ndoto Za Kijana Yeyote Mwenye Kipaji Zipote...!!! shukrani Sana (UONGOZI) Kiukweli Kabisa Mlipaswa kufocus Zaidi Na Mimi ili Kuendelea Kufungua Milango Zaidi ..!!! Na kuendelea Kuitangaza #Bongoflavour Lakini Mkasema Hapana Mtajikamua Mtajinyima Na Kwa Mapenzi Ya Wanachi Basi Kijana Mwenzetu Atimize Ndoto Yake Ili Yeye Pamoja Na Familia Yake Ipate Walau Faraja Asanteni Sanaa Kwa nia Ya Dhati Kwa Msanii Mwenzangu Ambae Naamini Katika Kipaji Chake Ama Tunu Aliyopewa Na Mungu ...!!!

Harmonize added that he strongly believes in Ibraah's talent and that he is ready to take himself and the record label to greater heights so as to create more opportunities for young and upcoming artists trying to make it in the music industry;

Naweza Sema Bila Shaka Hata Ikitokea Siku Siimbi Muziki Teena..!!! Naamini @Ibraah_tz Nimtu Ambae Anaweza Fanya Kila Ninacho Fanya ..!! 100% Kwaheshima Kubwa Sina Budi Kuku karibisha Rasmi @Kondegang Brother .!!!@ibraah_tz Naamini Kwapamoja Tunaweza Kuwa Njia Ya Kuupeleka Muziki Wetu Another Level....!!!! Na Kesho Kuwafungulia Vijana Wenzetu Njia Waliopo Mtaani Watoto Wa Kimaskini Kama Sisi ...!!! Nikuombe tu Uamini Katika Wananchi Watakao kupokea Na Kukusikiliza Ndio Wanaweza Kubadirisha Maisha Yako Nakusisitiza Kuwapenda Na Kuwaheshimu ....!! ? Pia Nikuombe Wewe Rafiki Unaesoma Ujumbe Huu Kumuandikia Neno (1) Tuu Ambalo Unahisi Litamfariji Kumtia Moya Na Ukawe Kati Ya Watu Wa Mwanzo Kabisa...!!! Walio Mtakia Heri Na Mafanikio Mema Katika Safari Yake Anayoianza Leo hiii Kijana Mwenzetu ..!! Ibraah_tz 

 

Ibraah signing his contract with Konde Music Worldwide

Ibraah signing his contract with Konde Music Worldwide

The new artist; Ibraah showed his excitement on Instagram as he shared photos of his lovely welcome to the Konde Gang family. He also shared a few words of gratitude to Harmonize and the record label management for trusting him in representing them;

MUNGU ULIE HAI WEWE NI MWEMA ? NAKUOMBA USIMAME NAMI KATIKA SAFARI YANGU YOTE YA MUZIKI PIA UWALINDE WATAKAONITIA MOYO NA KUNIUNGA MKONO UWAZIDISHIE ZAIDIII ?? KONDEMUSIC WORLDWIDE ??

 

Ibraah (middle) joins Konde Music Worldwide

Ibraah (middle) joins Konde Music Worldwide

Harmonize has been creating big waves in the industry and we cannot wait to see what this new artist has in store for us.

 

For these are more on your favourite East African musicians, connect with us through our socials @Notjustok

 

 

 

 

Latest Contents

 

Related

ADVERTISEMENT