SHARE

Read Wamelowa Lyrics By Harmonize (The Yanga Version)

SHARE

Read Wamelowa Lyrics By Harmonize. The song is dedicated to Yanga fans and has been well-received by fans in East Africa and beyond

READ ALSO: Read Amelowa Lyrics By Harmonize

Read Wamelowa Lyrics By Harmonize Below:

Kwenye msimamo kumi bora ndo wengine wamo 

Tanga shikamoo hawatuwezi hawa watoto wa Mooo

La kuvunda halinaga ubani hawawezi lutufikia 

Na mpira kwetu burudani hatuchoki kushangalia 

Wanajiuliza kwanini tunawakimbiza hawachezi boli wanaingiza 

Yanga tunatamba kuwaumiza 

Tumeshinda kilage mukama tunakomoa 

Kwa uwekezaji wa GSM hawawezi kutoboa 

Tunawakumbatia mkono wa kushoto kwenye gear 

Na zikitupanda hisia Yanga tunachuchumia 

Maji yanatoka wamelowa wamelowa 

Wamelowa na mvua 

Makolo wamelowa wamelowa 

Wamenyeshewa na mvua 

Wamelowa wamelowa 

Wamelowa na mvua 

Makolo wamelowa wamelowa 

Wamenyeshwwa na mvua 

Si ndo Yanga, Yanga Afrika 

Engineer 

Si ndo Yanga Yanga Afrika 

Uuuh aaah kila wakikurupuka tunawapiga kamba 

Hatuna papara pupa tunalicheza samba 

Jeupega mwanao wenye kwilejakuloa jejikukila mwanau

Liduvalipapa ukakaukyilamba, liduvalipamba ukakaukakyilamba

Tumeshinda kilage mukama tunakomoa 

Kwa uwekezaji wa GSM hawawezi kutoboa 

Tunawakumbatia mkono wa kushoto kwenye gear 

Na zikitupanda hisia Yanga tunachuchumia 

Maji yanatoka wamelowa wamelowa 

Wamelowa na mvua 

Makolo wamelowa wamelowa 

Wamenyeshewa na mvua 

Wamelowa wamelowa 

Wamelowa na mvua 

Makolo wamelowa wamelowa 

Wamenyeshwwa na mvua 

Si ndo Yanga, Yanga Afrika 

Engineer 

Si ndo Yanga Yanga Afrika 

Tunawakumbatia mkono wa kushoto kwenye gear 

Na zikitupanda hisia Yanga tunachuchumia

Maji yanatoka wamelowa wamelowa 

Related

ADVERTISEMENT