SHARE

Read Utaniua Lyrics By Zuchu

SHARE

Read Utaniua Lyrics By Zuchu. Utaniua is Zuchu's first offering in 2023 and it is expected to make waves around East Africa.

READ ALSO: Read Kwikwi Lyrics By Zuchu

Read Utaniua Lyrics By Zuchu Below:

Eti lah lah lah lalala lala lalaah 

lah lah lah lalala lala lalaah 

Nna hamu mwenzenu na hamu kuyahadithia 

Oooh nna hamu tena nna hamu kuyasimulia 

Utani kama utani tulianza kimasihara 

Sikudhani sikudhani yatafikia mahala 

Akiwa hapatikani hapaliki sijalala 

Kanifanya kitu gani mbona imekuwa mara 

Dua kuku menipata mwewe wallahi nyinyi 

Ni mtihani 

Hata makosa afanye yeye mimi ndo naomba 

Samahani 

Ona anacheka kama mazuri 

Anajua kabisa amenteka kwake sina shughuli 

Eti kumwacha naanzaje sa kusepa natoa wapi jeuri 

Na kwenye koma naweka nukta kanitia na kufuli 

Oooh baby mimi hapa taabani

Wewe utaniua 

Nimeoza dah yarabi sihemii 

Wewe utaniua 

Aaaah hizo raha zako 

Wewe utaniua niua 

Roho yangu mali yako 

Wewe utaniua niua 

Nikikosa stuli ni sunna kula kwenye mkeka 

Unijue vizuri nikinuna mi ndo nadeka

Usije dhani kiburi uniache nikaja kuchekwa 

Baby raha ya shughuli mkunwa awe nacheka heka 

Oooh usichokipenda wewe

Chunga na mimi usinifanyie 

Mgomba wangu mwenyewe eti ndizi nigombanie 

Nipe penzi nilewe niyumbe nizimie 

Oooh ringa kwangu upo mwenyewe kiboko yangu mie oooh vimba 

Ona anacheka kama mazuri 

Anajua kabisa amenteka kwake sina shughuli 

Eti kumwacha naanzaje sa kusepa natoa wapi jeuri 

Na kwenye koma naweka nukta kanitia na kufuli 

Oooh baby mimi hapa taabani

Wewe utaniua 

Nimeoza dah yarabi sihemii 

Wewe utaniua 

Aaaah hizo raha zako 

Wewe utaniua niua 

Roho yangu mali yako 

Wewe utaniua niua 

Utaniua Zuchu

Related

ADVERTISEMENT