SHARE

Read Shu Lyrics By Diamond Platnumz Ft Chley Nkosi

SHARE

Read Shu Lyrics By Diamond Platnumz Ft Chley Nkosi. The Amapiano song is now making waves in Tanzania and East Africa.

READ ALSO: My Baby Lyrics By Diamond Platnumz Ft Chike

Read Shu Lyrics By Diamond Platnumz Ft Chley Nkosi Below:

Sandakalawe Amen 

Mwenye kupata amen 

Haya kagawe amen 

Wanaitaka amen 

Sandakalawe Amen 

Mwenye kupata amen 

Haya kagawe amen 

Wanaitaka amen 

Ukiileta kwa wahuni tunaila 

Na hatutoi bondi 

Kwa utamu gani si ntaipata hata 

Kwa sabuni 

Chi ukinitia tunavichuna na 

Hatubakishi sumni 

Mana umeyataka si 

Unajifanya kibosi nyangumi 

Ebooo! Kama kanajipitisha 

Afu hakashei namba 

Kateme kabisa si hakana ushamba 

Kanavyokatika alafu akashei namba 

Kateme kabisa si hakana ushamba 

Kana uh Kana Uh Kana Uh 

Kana ushamba 

Kana uh Kana Uh Kana Uh 

Kana ushamba 

Kibane bane mwisho kiliwe na nyenyere

Kibane bane mwisho kiliwe na nyenyere

Kama kanajipitisha 

Afu hakashei namba 

Kateme kabisa si hakana ushamba 

Kanavyokatika alafu akashei namba 

Kateme kabisa si hakana ushamba 

Kana uh Kana Uh Kana Uh 

Kana ushamba 

Kana uh Kana Uh Kana Uh 

Kana ushamba 

Related

ADVERTISEMENT