SHARE

Read Nawaza Lyrics by Barnaba

SHARE

Read and sing aloud Nawaza lyrics by Barnaba. The song has been well received by fans in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Read Rockabye Lyrics By Barnaba Classic

Read Nawaza Lyrics by Barnaba below:

Yele yele yele Waveja wowo

 Waveja wowo Waveja wowo 

Tajiri rafiki yake pesa 

Masikini rafiki yake uhai 

Najiuliza yupi mwenye maana 

Yule niliompenda jana 

Ama wa leo Ama atakaekuja 

Kuna muda najiuliza maswali 

Wapi niliko sahihi wakati niliopo 

Ama niliopita ama niendako 

Nichagulieni majibu 

Mwingine analilia kuolewa 

Mwingine analiliaga talaka 

Yupi yupo sahihi 

Mwingine anachoma ubani 

Yule anadate na jirani 

Wakati ana mume ndani 

Nakumbuka mama alinisihi 

Mwanangu kua uyaone sio magorofa 

Unaweza panda ngazi na kushuka 

Maisha tambala bovu 

Walio wengi wachovu 

So chunga sana 

Sukari imepanda bei buku mbili 

Mchana umepitaga sini dili 

Haya yaya 

Maisha gheto mabovu

Walio wengi wachovu 

Ye wowo 

Tunaungaunga mtaani 

Life la mtaani gumu 

Usitamani vingi vinapita 

We ni mwanadamu kidogo chako ridhika 

Hujui mwenzako wapi katoka eeeh 

Dear God show me the good way 

Dear God read me the right way

Nataka fanya vingi 

In my life nataka niwe mwema 

In their eyes

Binadamu walimkana Yesu 

Wewe ni nani 

Punguza kujifanya mwenye imani 

Wakinuna nawe nuna pia 

Wakicheka nawe cheka pia 

Mind your business hatulazimishani 

Huwezi kuwa mwema kwa kila mtu 

Unanikosea alafu unataka nifanye utu 

Roho mbaya haijengi 

Ila inaepushaga mengi 

Maisha ya Bongo yani popote kambi 

Mtoto mdogo anambeba 

Mwenye kitambi 

Kwa heshima alitakiwa 

Amwite baba huyo 

Kwa phonebook amemsave baby huyo 

Maajabu ya Musa haya 

Neno urafiki na unafiki 

Vimetofautiana herufi moja tu 

Just be careful 

Kuwa makini na unaosema unawaamini 

Usijejutiaga mwenzangu na mimi 

Somebody told me 

Tafuta pesa Monday

Sio siku ya kazi 

Na tukizipata tusifundishane 

Kula bata 

Hujanisaidia kutafuta so 

Punguza ushauri sasa 

Sukari imepanda bei buku mbili 

Mchana umepitaga sini dili 

Haya yaya 

Maisha gheto mabovu

Walio wengi wachovu 

Ye wowo 

Tunaungaunga mtaani 

Dear God show me the good way 

Dear God read me the right way

Nataka fanya vingi 

In my life nataka niwe mwema 

In their eyes

Related

ADVERTISEMENT