SHARE

Read 'Kiuno' Lyrics by Yammi

SHARE

Read Kiuno Lyrics by Yammi. The Amapiano song is well received by fans in Tanzania, East Africa and beyond

READ ALSO: Yammi returns with a new single titled 'Kiuno'

Read Kiuno Lyrics by Yammi Below:

Namkisikia nimeumwa 

Nimelazwa nimekonda 

Nime-dead yale mapenzi 

Namkisia ameumwa 

Amelazwa amekonda 

Amedead yale mapenzi 

Na msiulize kwangu amefata nini 

Ni nyama kwa nyama maini 

Nimezama kina mpaka chini 

Na navyodeka sijui nitamwacha lini 

Na pengine ye ndo anafanya 

Niwe loyal 

Mahaba yake yananichanganya 

Sitaki mwingine 

Ye ashanitouch kwenye moyo 

Midomo yake akinikisi mwaaa 

Si anapendaga kiuno 

Kanipa mama 

Kanipa mama 

Kanipa mama 

Na mi napenda shoo 

Kampa baba 

Kampa baba 

Kampa baba 

Anachopendaga 

Kanipa mama 

Kanipa mama 

Kanipa mama 

Na ninachonipendaga 

Kampa baba 

Baba oohh 

Kampa baba 

Baba oohh 

Kinachofuata mchana tunakiwasha 

Usiku tunazima taa 

Yaani ta ta ta 

Na mimi hapa nampa anachokitaka 

Sindimba chakacha 

Yaani ta ta ta 

Alooo my baby mwenzako 

Nyang’anyang’a 

You know we ndo 

We ndo my sweet banana nana 

Baishoo I love you baby 

Oooh na na na 

I am in love unanicontrol 

Na pengine ye ndo anafanya 

Niwe loyal 

Mahaba yake yananichanganya 

Sitaki mwingine 

Ye ashanitouch kwenye moyo 

Midomo yake akinikisi mwaaa 

Si anapendaga kiuno 

Kanipa mama 

Kanipa mama 

Kanipa mama 

Na mi napenda shoo 

Kampa baba 

Kampa baba 

Kampa baba 

Anachopendaga 

Kanipa mama 

Kanipa mama 

Kanipa mama 

Na ninachonipendaga 

Kampa baba 

Baba oohh 

Kampa baba 

Baba oohh 

Related

ADVERTISEMENT