SHARE

Read Mnyama Lyrics By Ali Kiba

SHARE

Read And Sing Aloud Mnyama Lyrics By Ali Kiba. The song is well received by fans in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Read Sumu Lyrics By Ali Kiba Featuring Marioo

Readd Mnyama Lyrics By Ali Kiba Below:

Sio leo toka zamani 

Mnyama hana mpinzani 

Sio leo toka zamani 

Mnyama hana mpinzani 

Hatushikiki Kiki  

Hatukamatiki kiki 

Watoto wa Dar 

Watoto wa Msimbazi

Ita mashabiki kikiki 

Umeanza mti tititi 

Na fimbo huu 

Kobe msimbazi 

Aaah we unamjua Simba mnyama 

Sio huyu wa picha mnyama mnyama

Huyo ni wa Insta mnyama myama 

Huyo utopolo mnyama 

Nyama nyama  

Nyama nyama  

Kwa vikombe vingi mnyama mnyama 

Anaopiga mwingi mnyama mnyama 

Unyama ni mwingi unyama mnyama 

Nasema unamjua Simba mnyama 

Wa kimataifa myama mnyama 

Mnyama nguvu moja mnyama mnyama 

Anatupeperusha mnyama mnyama 

Nyama nyama  

Nyama nyama

Kwa vikombe vingi mnyama mnyama 

Anaopiga mwingi mnyama mnyama 

Unyama ni mwingi unyama mnyama

Hatushikiki Kiki  

Hatukamatiki kiki 

Watoto wa Dar 

Watoto wa Msimbazi

Ita mashabiki kikiki 

Umeanza mti tititi 

Na fimbo huu 

Kobe msimbazi 

Sio leo toka zamani 

Mnyama hana mpinzani 

Sio leo toka zamani 

Mnyama hana mpinzani 

Ooh sisi Simba 

Sisi ndio mabingwa 

Sisi ndio mabingwa 

Africa nzima 

Sisi Simba 

Sisi ndio mabingwa 

Sisi ndio mabingwa 

Africa nzima 

Related

ADVERTISEMENT