SHARE

Read Mapepe Lyrics By Platform

SHARE

Read Mapepe Lyrics By Platform. The song has made waves in East Africa and marks another time made good music.

READ ALSO: Read Fall Lyrics By Platform Tz Featuring Marioo

Read Mapepe Lyrics By Platform Below:

Kama ikitokea amani ya moyo imetoweka

Ah bora kunizika kuliko kukukosa

Na atakama ikitokea tupo kwenye shida

Mi nimeridhika siwezi kukutosa

Afu nikwambie wewe

Umeishika pumzi, pumzi ya mapenzi

Na chochote niambie wewe

Yani kama chizi, chizi wa mapenzi

Na penzi lako pingu ndo nishafunga

Moyo umekuchagua nakutaka baby

Aah lango ndo nishafunga

Moyo umekuchagua nakutaka taka

Aaaaah aaaaaah

Aaeeh sina mapepe mimi kwako nimetulia

Aaeeh sina mapepe mimi kwako nimetulia

Nimetulia tulia afu nina amani

Asa napokua na wee

Tulitumia vyajuani tukaishinda mitihan

Mimi furaha yangu ndo wewe aah wewe

Ndio hao marafiki vijini

Wasopenda uwe na mimi watasubiri subiri

Walidhani hutokua na mimi ona wanadhalili si tunapeta na jiji

Na penzi lako pingu ndo nishafunga

Moyo umekuchagua nakutaka baby

Aah lango ndo nishafunga

Moyo umekuchagua nakutaka taka

Aaaaah aaaaaah

Aaeeh sina mapepe mimi kwako nimetulia

Nimetuli nimetuli aah sina mbambamba

Aaeeh sina mapepe mimi kwako nimetulia

Ah nimeumaliza mwendo ah mwendo mwendo 

Mapepe Lyrics - Platform TZ

Related

ADVERTISEMENT