SHARE

Read 'Dear X' Lyrics By Harmonize

SHARE

Read And Sing Dear X Lyrics By Harmonize. The song has been well-received by fans in Tanzania and East Africa.

READ ALSO: Read Hawaniwezi Lyrics By Harmonize

Read Dear X Lyrics By Harmonize Below:

Hello Dear Ex 

Nimepata tetesi 

Za kwamba unanisema 

Ili nionekane si mwema 

Pengine una stress 

Mara umekonda mwepesi 

Kwangu ukimya sio ukilema 

Ila nachunga vya kusema 

Maana niliubeba msalaba 

Ikawa mi ndo mama mi ndo baba 

Nikajichanga tujaze kibaba 

Mbona hausemi 

Kiume nilishukuru 

Nikapangusa matako nikakuacha uende 

Ukawe huru 

Range na duka ni vyako 

Nibaki na makende

Na kama ulidhani ntafeli 

Unangoja basi uko feri

Siku nikilewa mitasema ukweli 

Nchi ilivyogo na matapeli 

Sina hasira wala kinyongo 

Ila sipendi uongo 

Vijembe jembe na madongo 

Ukitaka kutrend 

Raundi hii hainaga 

Hainaga kutia huruma 

Hainaga kutia huruma

Hainaga kutia 

Hivi tuseme ndo nimejipata 

Hainaga kutia huruma haina 

Hiiiiiii 

Hainaga kutia 

Maana mbona nazidi kutakata 

Hainaga kutia huruma hainaga 

Haiiiiii 

Hainaga  

Hainaga kutia huruma haina 

Hiiiiiii 

Hainaga kutia 

Peke yangu nisingeweza 

Nisingeweza 

Kuna kitu Mungu kaniongeza 

Kaniongeza 

Ona nazidi kupendeza 

Ninapendeza 

Na niko bize na Feza 

Unacheka cheka tukuone ume-move on 

Mara unatuonyesha vya nguoni 

Uhali gani uko moyoni sema sema 

Unacheka cheka tukuone ume-move on 

Mara unatuonyesha vya nguoni 

Uhali gani uko moyoni sema sema 

Na kama ulidhani ntafeli 

Unangoja basi uko feri

Siku nikilewa mitasema ukweli 

Nchi ilivyogo na matapeli 

Sina hasira wala kinyongo 

Ila sipendi uongo 

Vijembe jembe na madongo 

Ukitaka kutrend 

Raundi hii hainaga 

Hainaga kutia huruma 

Hainaga kutia huruma

Hainaga kutia 

 Hivi tuseme ndo nimejipata 

Hainaga kutia huruma haina 

Hiiiiiii 

Hainaga kutia 

Maana mbona nazidi kutakata 

Hainaga kutia huruma hainaga 

Haiiiiii 

Hainaga  

Hainaga kutia huruma haina 

Hiiiiiii 

Hainaga kutia 

Related

ADVERTISEMENT